My Blog List

Thursday, February 01, 2007

JINSI MAJESHI YA BONGO YALIVYOWATIA KIZUIZINI WAGANDA TZ.

Ninapenda sana mambo ya uhusiano yanavyochambuliwa na wengine hebu soma hili.Je unajua mambo ambayo watanzania wengi hatuyajui wakati wa vita ya Iddi Amin?
Unamjua bingwa wa uandishi habari aliyekufa?
Unapaswa kujua pia yuko Rais wa nchi moja ya Afrika(Guinea) bado yuko kwenye zile zama za kung'ang'ania madaraka.Pia soma juu ya jinsi vyama tawala, au vyama dola kama CCM vinavyofanya katiba ya nchi kama mali yao.
Hili ni la muhimu sana kujua juu ya Uganda manake baada ya uchaguzi mkuu mwaka jana wapinzani walilalamika mahakamani na majaji wa mahakama kuu wakatoa uamuzi kuwa Museveni alikuwa mshindi halali.Jua ni kwanini majaji walitoa uamuzi huo,
Pia ni vyema usome uamuzi wao ulisemaeje?
Soma pia ni jinsi gani bara letu Afrika lilivyo na wabunge ghali sana juu ya uwezo wa nchi.Pia huko Uganda eti ubinafsishaji umegeuka kuwa kama ugaidi.
Pia tunakumbushwa ni kwanini hatuna sababu ya kukumbuka siku ya uhuryu wa nchi zetu?Alafu mwisho kabisa:SOMA JUU YA BLOOD DIAMOND, sinema ambayo inaelezea juu ya umafia ulivyokithiri Afrika.

No comments: