My Blog List

Thursday, November 16, 2006

UKIMWI, MADEREVA WALEVI-FAIDA KWA UCHUMI

Leo nawapa vituko vya jamaa mmoja mcheshi kwelikweli. Eti anadai Ukimwi ni dili kwa bara la Afrika na ukiangamizwa, bara letu halitapata misaada.Alafu anaongeza zaidi kwamba uendeshaji magari wakati mtu ni mlevi ni faida kwa uchumi wa nchi.

No comments: