My Blog List

Wednesday, November 08, 2006

OMBAOMBA WA AFRIKA CHINA

Eti marais wa afrika kule China walikuwa makini au ombaomba tu?Alafu huko China tunaambiwa Museveni alifanya mambo ya kihistoria.Wakati Tanzania tumemaliza kipindi cha jeshi letu la polisi kupoteza mwelekeo kutokana na Kamanda wa polisi wa hovyo, huko Uganda hebu msome IGP wa kule ni mtu gani na umfananishe na alipita kwetu "MAHITA".
Alafu kuhusu dini kuna wanaoamini watu weusi tumelaaniwa na Mungu. Ila huyu anakataa katakata.Pia kama mtu wa ukanda huu wa afrika, je jumuiya yetu tuianze?
Mwisho waafrika eti tumezidi kupenda watoto wadogo visivyo?

No comments: