My Blog List

Wednesday, November 22, 2006

MGAO WA UMEME UGANDA NI MIAKA MITATU SASA JE BONGO?

Huku tukiwa tunalaumu wanasiasa wetu juu ya labda hujuma au rushwa juu ya matatizo ya umeme nchini Tanzania kwa sasa, huko Uganda mgao wa umeme umekuweko kwa miaka mitatu sasa na ahadi kama hizi za hapa Bongo ni kawaida.
Mgao umeendelea hata pale serikali ya Uganda ilipobinafsisha shirika la Umeme kwa jamaa wale wa Afrika kusini kama tulivyofanya sisi.
Pia msome jinsi Museveni na Besyige walivyofanana.

1 comment:

Simon Kitururu said...

Naombea tu nasisi bongo isifikie miaka mitatu kabla hatujapata suluhisho