My Blog List

Saturday, October 07, 2006

WABUNGE WA UGANDA NA MAGARI YA KIFAHARI

La msingi kabisa ni Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kuna mpango umeandaliwa wa kukusanya maoni ya watu.Je ni sahihi kuutekeleza?
Leo soma haya ya wabunge wa Uganda wamehongwa na serikali yao. Wale wapenda kandanda soma uone ni timu gani angalau zinahisiwa kushinda kombe la mabingwa.
Alafu inaaminika eti Waafrika tumelaaniwa:

No comments: