My Blog List

Friday, October 06, 2006

Eti JK kadhihakiwa?

Kuna ile katuni ambayo serikali pamoja na wanahabari wa TZ wanadai ni dhihaka kwa JK na watanzania kwa ujumla.
Eti siasa Uganda ni ndege iliyo safarini, itafika. Alafu jisomee ujichekee vituko vya vigogo wa Uganda.

No comments: