My Blog List

Friday, October 13, 2006

KUMBUKUMBU YA OBOTE BAADA YA MWAKA.

Hii ni wiki kubwa sana ya kuwakumbuka waasisi wa Afrika Mashariki. Kwanza jana imekuwa siku ya kumkumbuka Milton Obote, rais wa kwanza wa Uganda. Mkewe kaongea juu ya mumewe hasa ni yapi yanayomfanya amkumbuke.Obote kama binadamu anazo pande mbili hebu zisome:Pia ujue hivi ni upi mchango wa Obote katika siasa za Uganda na Afrika na alikuwa ni mtu wa aina gani?
Ukiacha kumbukumbu, huko Uganda baraza la mawaziri wanakosoana sio kama hapa kwetu Tanzania tunaoneana aibu na kufunika kombe mwanaharamu apite.Pia Uganda tunakumbushwa kuwa panapokuwa na amani sana basi ujue haki hakuna kabisa.
Mambo ya mahusiano, je una mpango wa kuchumbia siku za karibuni?Mwisho soma juu ya wanamuziki wa Uganda.

No comments: