My Blog List

Friday, October 27, 2006

MAMBO YA JAMII LEO

Napenda Chuo hiki cha elimu ya juu Nkozi University. Kuna jamaa kaoa ndugu yake wa damu, yaani dada yake.Ulishasikia haya? Wanawake wa Uganda na malove.
Kuhusu yule fashisti Idi Amin alipompindua Obote alitoa sababu kumi na moja za mapinduzi. Pia nchi ya Uganda inaye askari mkakamavu na msomi, msome hapa.
Mambo ya maisha ya ndoa ni misuguano mitupu; kwenye siasa napo Kagame bado anamuumbua Museveni.

No comments: