My Blog List

Friday, October 13, 2006

UGANDA NA SALA ZA KILOKOLE

Yuko Jaji Mmoja maarufu nchini Uganda ambaye anakerwa sana na wanasiasa wa nchi hii. Basi katunga shairi babu kubwa juu ya uzandiki wa wanasiasa wa Uganda.
Kituko kingine cha wanasiasa ni tabia ya akina Museveni na mkewe kupenda kuhudhuria sala za kilokole kuiombea nchi kitu kinachoonekana hakina msaada wowote kwa nchi.Sala inaonekana ni ulevi wa wanasiasa.
Je wajua kuwa soko huria ndio balaa kuu la umasikini uliokithiri Africa? Alafu gazeti la serikali Uganda, hatimaye lamfukuza kazi meneja wake mzungu.

No comments: