My Blog List

Saturday, October 17, 2009

SIKU YA CHAKULA DUNIANI NA VIMBWANGA VYAKE

Ugh! kwa wasomaji wangu, nimekuwa kimya sasa narejea kwa kuwapa machache niyasoayo. Huko Uganda Mambo ya MDGs juu ya Ukimwi, je inawezekana?
Wanasema pia tusishangazwe na Uganda kuendelea kuwa chini ya kutokuwa na amani kwa miaka mingi, ni kuwa chuki ilipandwa tangu wakati wa uhuru.
Pia kwa kuwa jana ilikuwa siku ya chakula duniani, ni wazi kuna watu wanapata taabu sana kwani wanahitaji kula vizuri lakini hakuna chakula hasa wale wanaotumia dawa za kuwaongezea maisha.

Kwa wale wanaopenda kuwa na akina dada karibu, ni wakati mtu kujiuliza, unajua makundi ya akina dada hasa katika maeneo ya shule? Huko huko mashuleni, je tunajua maprofesa wanafanya nini?

No comments: