My Blog List

Monday, October 19, 2009

MWALIMU NYERERE NA MAFANIKIO

Mwalimu Nyerere kama wanadamu wengine alipata sapoti kubwa sana kwa waliomzunguka hadi kufikia mafanikio. Pia ni vyema kujua je, Nyerere alikuwa mwana wa Africa nzima ama tu ile Afrika kusini mwa jangwa la sahara?
Kama baba wa Taifa alikuwa na mtizamo juu ya hali ya Elimu ya Juu. Alitaka Elimu ya Juu iwe ya kiwango cha juu pia si ya bora liende tu. Si elimu tu, ila alipigania hasa, Uhuru wa Mwafrika.

MWALIMU AWA MTAKATIFU: Kanisa katoliki limeanza mchakato wa kumfanya mwalimu kuwa ni mtakatifu.
Mwisho, yuko bwana mmoja anampenda sana mwalimu, hebu soma barua yake.

No comments: