My Blog List

Friday, July 04, 2008

MUSEVENI KAMA MUGABE?

Saa nyingine serikali za Kiafrika zinajiabisha sana pale zinapowatumia wahuni tu wa mtaani katika shughuli zake. Ona hili la Uganda jinsi lilivyo. Uganda ya Museveni sasa imeanza kumchoka; kuna kila dalili kuwa wapo watu tena wengine wa karibu na Museveni wameanza kupanga jinsi ya kuondokana naye. Hii inachangiwa na kukuwa kwa rushwa na pia jeuri ya baadhi ya maswahiba wa Rais Museveni ambao kwao hata mkaguzi mkuu wa serikali si kitu.
Si hayo tu, kuna hili la Mugabe kufananishwa na Mobutu.

1 comment:

Simon Kitururu said...

Kuna mambo yaweza kirahisi kukukatisha moyo mtu.:-(