My Blog List

Saturday, July 26, 2008

HABARI ZA JUMAPILI

Kutatokea kupatwa kwa jua wiki ijayo. Kupatwa kwa jua nusu hakutaonekana Afrika siku hiyo.

Kumbe udikteta na ubabe uongozini una faida? Je kuna faida gani kuweka maafisa wa Jeshi kama ndio mabosi wa jeshi la polisi?
Huko Kenya wanafunzi wa sekondari wanagoma, kumbe ni halali kugoma.
ICC imeamua kulia na dikteta wa Sudan, je kwanini ICC inadili na madikteta wa nchi masikini tu?

No comments: