My Blog List

Wednesday, August 15, 2007

VITA YA MAFUTA CONGO DRC--UGANDA?

Unajua vita ya mafuta inakaribia kuanza kati ya Uganda na Kongo-DRC?Je Uganda itaweza kupigana vita nyingine na huku pia ikipimwa kama ni dola iliyofeli?(failed state)
Kama ni kweli mafuta ni chanzo cha ugomvi na Kongo, je ni nini nafasi ya Uganda katika biashara ya mafuta barani Afrika.
Ni lazima watu tutambue kuwa Ituri ni eneo lenye utajiri wenye balaa sana kwani ni chanzo cha mgogoro wa sasa kati ya nchi hizi mbili.

No comments: