My Blog List

Saturday, August 11, 2007

DRC-UGANDA VITANI?

Kuna mgogoro wa mpaka kati ya Uganda na Congo-DRC.Kiini ni kisiwa kimoja ndani ya ziwa Albert ambapo pia kinahusishwa na uwepo wa mafuta. Mgogoro huu unakuwa na kuna mgogoro wa kidiplomasia kati ya nchi mbili hizi.
Kuna habari za wanajeshi wa Kongo kuwavamia wa Uganda mpakani.

No comments: