My Blog List

Tuesday, April 10, 2007

UZINZI HALALI UGANDA?-MAHAKAMA

Museveni hatimaye kaanza kuzungumzia mipango ya kuondoka.
Mahakama ya Uganda imefafanua juu ya sheria ya ukahaba au uzinzi kwa mwanamke na mwanaume, hata hivyo bado akina mama wengi wa Kampala wanataka talaka waachane na mabwana zao.Amanya Mushega, katibu mkuu wa EAC wa zamani anazungumzia juu ya utawala bora. Hotuba yake inatoa historia ya siasa za Uganda.
Ule msitu wa Mabira ni kielelezo cha rushwa nchini Uganda kwa miongo mingi anasema Andrew Mwenda.

1 comment:

Mikundu Matako Makalio Manundu said...

Hatari kubwa!

Usisahau kupitia kwa Mzee wa...

http://mikundu.blogspot.com/