My Blog List

Tuesday, February 19, 2013

UPDF CHINI YA MTOTO WA MUSEVENI UGANDA


Raisi Yoweri Kaguta Museveni ni kiongozi ambaye amefanikiwa kuirejesha Uganda katika ramani ya dunia kutoka katika hali isiyokuwa ya utulivu hadi katika maendeleo. Wakati anakaribia kustaafu; ameamua kulifanya Jeshi la nchi hiyo kuwa chini ya mtoto wake Muhoozi Kainerugaba.
Raisi Museveni tayari amepinga imani ya baadhi ya wapinzani wake juu ya hiki kinachoonekana ni kumuandaa mtoto wake Muhoozi kama ndiye mtu mwenye nguvu kuliko Mkuu wa Majeshi.

No comments: