My Blog List

Saturday, February 07, 2009

SIASA UGANDA HOMA JUU

Nchini Uganda homa ya kisiasa imeanza kujengeka kwani chama cha Upinzani kikuu FDC kinafanya uchaguzi wa viongozi wake wakuu. Hapa kuna mizengwe na manuva za kila aina. Katika mchuano wa viongozi wanaogombea, Besyige na generali Muntu unatafsiriwa kiana na wachunguzi wa kisiasa.
Besigye mwenyewe ana mengi ya kusema juu ya hali ya kisiasa katika chama chake na uchaguzi huu. Chama cha FDC kinajaribu kutoa upinzani lakini inabidi waachane na furaha kwanza.

No comments: