My Blog List

Saturday, February 07, 2009

DEMOKRASIA UGANDA MAJARIBUNI

Nchini Uganda, Chama kikuu cha Upinzani FDC kinafanya uchaguzi ndani ya chama. Ni wakati wa kuona ni jinsi gani siasa za kiafrika zimejaa manuva na mizengwe. Wakati uchaguzi huo ukiendelea, chama tawala cha NRM kinagawanyika kutokana na kuongezeka kwa makashfa mengi. Chama hicho kinatimiza miaka 23 lakini haijulikani kama huo ndio mafanikio au la.

Pia kuna habari Raisi Museveni alikwaruzana na Kanali Ghadafi huko Ethiopia.

No comments: