My Blog List

Monday, November 14, 2011

UTAWALA WA MUSEVENI UMECHOKA SASA



Ni wazi baada ya kutawala kwa miongo kadhaa kwa sasa Uganda inahitaji kiongozi mpya, mwenye mawazo mapya na mtizamo mpya. Museveni kwa vyovyote vile kwa sasa si vyema akaendelea kuitawala nchi ni mzee. Kwa sasa utawala wake haupendezi kama enzi zake akionekana kama mtawala wa enzi mpya Africa.

1 comment:

Moon Hck said...

hi
fokusmediafire.blogspot.com