My Blog List

Sunday, February 21, 2010

MTANZANIA AWA MWANAFUNZI BORA MAKERERE

Ni msichana wa Kitanzania ambaye amekuwa miongoni mwa wanafunzi bora kabisa waliohitimu katika Chuo kikuu cha Makerere. Jamani huyu naye ni shujaa wa kuipeperusha bendera ya Taifa letu.

Anaitwa, JOSEPHINE SERUHERE, ni vyema msome hapa na muone ni vipi katutoa kimasomaso.

No comments: