My Blog List

Monday, January 25, 2010

MPIRA AFRICA ROBO FAINALI ZINAFURAHISHA

Jana yamepigwa mapambano ya kukata shoka. Algeria imeiondoa timu ya Ivory Coast mashindanoni. Ni wazi kwa mchezo wa Ivory Coast, Kombe la dunia Bara la Africa tumelamba garasha.Sioni ni vipi itaweza kuvuka raundi ya Kwanza.

Huko Uganda nataka tujikumbushe enzi za Sadik Wassa aliyekuwa golikipa ambaye hajawahi kutokea.

No comments: