My Blog List

Friday, June 27, 2008

AFRIKA MATATIZO YASIYOKWISHA

Umeyasikia haya ya wapigania uhuru (freedom fighters) wa jamii ya akina Mugabe? kwao demokrasia ikifanya kazi yake haina maana kabisa. Mmojawao huko Uganda anadai kuwa hata kama wakishindwa uchaguzi hawataachia wapinzani watawale.
Ndio maana tusishangae kama Uganda itageuka Zimbabwe siku chache zijazo baada ya Museveni maji kumfika shingoni. Saa nyingine tunadhani matatizo ya Afrika ni Ukoloni, je ni kweli? Lakini Museveni anadai tatizo ni IMF na World Bank.

No comments: