My Blog List

Saturday, September 22, 2007

MUSEVENI NA HILA DHIDI YA TANZANIA?

Museveni mambo yalivyo ikulu ni vituko, yaani katibu wa rais ndio kama Makamu wa Rais.Pia kuonesha kuwa Museveni ana roho ya kwanini, ukikosana naye, anakufuatilia mpaka uliko hata nchi za nje ili usiajiriwe.
Pia hebu tujionee ni vipi Uganda na Kenya zina mbinu za kichinichini dhidi ya Tanzania juu ya Shirikisho?

No comments: