My Blog List

Saturday, September 15, 2007

KENYA UGANDA KUUNDA SHIRIKISHO-EAC

Museveni kaanza tena kuonesha ni jinsi gani alivyopania kuwa Raisi wa kwanza wa EAC-Shirikisho. Huyu ni kiongozi shupavu ambaye ana malengo, sasa kaashauri Uganda ijiunge na Kenya. Pia hebu jisomee jinsi gani Nyerere alivyompindua raisi wa zamani Uganda, Binaisa.

No comments: