My Blog List

Sunday, September 10, 2006

LEO NI SIASA CONGO NA UGANDA

Mambo ya kupambana na rushwa sio mcezo, hapa kuna njia mbadala zinapendekezwa. Pia magari ya wabunge ni ulaji mtupu wa vigogo nchini Uganda, je umasikini utakwisha kweli? Hili la kushangaza manake inasemekana si Kabila wala Bemba anayestahili kugombea urais nchini Jamhuri ya kidmokrasia ya Congo. Si Congo tu ila eti hata Uganda sasa iko chini ya serikali ya maharamia, unajua?
Alafu kuna mtu kasema "Ushoga na Ufirauni" haukubaliki Afrika. Alafu soma ilivyo ngumu kuzuia uvunjaji wa haki za binadamu serikalini.

No comments: