My Blog List

Thursday, September 07, 2006

KUHAMAHAMA VYAMA SIASA

Kwa wale wanasiasa uchwara ambao hawaishi kuhamahama vyama basi hii ya kule Uganda ndio funzo. Jamaa alikuwa mkuu wa majeshi lakini sasa ndie kati ya wapinzani wakuu na hana mpango wa kurejea chama tawala. Alafu sisi watanzania tunafikiri ni Mkapa tu kauza nchi yetu kule Uganda Museveni pia kagenisha na wazawa hawana chao.
Pia ona jinsi Maadili yalivyoshuka na kuathiri jammi za kiafrika.

No comments: