My Blog List

Sunday, April 21, 2013

SABABU ZA VITA YA KAGERA 1979

Uganda na Tanzania ilikuwa kwenye vita baada ya kile kilichodaiwa kuwa ni uvamizi wa Uganda katika eneo la Kagera hivyo Tanzania ikalazimika kulipiza kisasi. Je ilikuwa sahihi kwa Tanzania kuyafukuza majeshi ya Idd Amin alafu kwenda hadi Kampala na kumpindua Idd Amin? Je ni nini ukweli wa kilichojiri? Msome mtoto wa rais wa wakati huo wa Uganda Idd Amini uelewe hali halisi ilikuwaje?
Pia unaweza kuona jinsi ambavyo Idd Amin wakati jahazi likizama alivyojaribu kutoroka na familia yake kuanzia shuleni hadi kuwatorosha kwenda Libya kwa rafiki yake Muhamor Ghadafi.

No comments: