My Blog List

Tuesday, December 09, 2008

TAMASHA LA MARIALE CUP LAMALIZIKA MOSHI


Timu ya Kaloleni United ya Kata ya Kaloleni katika Manispaa ya Moshi ambayo iliibuka kidedea jana na kushinda kikombe na ng'ombe katika uwanja wa Chuo cha Ushirika Moshi bao 1-0 dhidi ya Langasani ya Moshi Vijijini.
Nahodha wa Kilimanjaro Queen akipokea kikombe kwa kushinda netiboli katika tamasha la Chifu Mariale
Afisa Tawala wa Wilaya ya Moshi Manispaa akimkabidhi Kikombe Nahodha wa Kaloleni baada ya kushinda bao 1-0 timu ya Langasani kutoka Moshi Vijijini.

No comments: