My Blog List

Wednesday, January 03, 2007

FUNGUA MWAKA 2007

Mwaka 2006 umemalizika na makala kadhaa ambazo zimegusia ni jinsi gani ulimwengu wetu ulivyo na changamoto. Kifo cha Saddam pia kimegusa hisia za wengi na hasa jinsi udikteta mpya ulivyozaliwa na kinyongo hiki cha dikteta. Hata waliokuwa wanamtetea inasemekana serikali ya sasa inawatisha sana.
Mwaka mpya ni wakati wa kugusia juu ya taasisi za kiserikali zinavyopaswa kufanya kazi hasa Afrika Mashariki. Pia tujifunze zaidi nini mchango wa China katika uchumi wa Afrika?
Pia ni vizuri tujifunze juu ya changamoto za SACCOS.