tag:blogger.com,1999:blog-155206602024-03-13T06:43:19.863-07:00DIRA YANGU.Hii ni globu iliyovumbuliwa nchini Uganda inajaribu kukazia matumizi ya lugha ya kiswahili na kuhabarishana kuhusu maswala mbalimbali ya kijamii hasa katika ukanda wa Afrika Mashariki na kat na kwingineko. Siasa na mambo ya michezo na kijamii kwa ujumla ndio itakayokuwa mada kuu hapa.Nitakaribisha maoni yenu.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.comBlogger446125tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-20656389310192463602017-05-09T08:58:00.000-07:002017-05-09T08:58:00.680-07:00EMMANUEL MACRON ATAWAHI KUTOKEA AFRIKA?Kuchaguliwa kwa Emmanuel Macron kuwa Rais wa Ufaransa akiwa kijana wa umri wa miaka 31 ni hali iliyonishangaza sana. Nimeitafakari hiyo hali ya nchi kuongozwa na kijana wa umri huu nikajiulliza hivi katika nchi zetu inawezekana?<br />
<br />
Nikitizama siasa za kiafrika na namna ukwasi unavyotawala siasa zetu na chaguzi zetu, sina hakika inawezekana. Lakini pia namna na staili ya maisha ya Macron, familia yake jinsi anavyoishi na mwanamama mwalimu wake, sina hakika kama wahafidhina wa kiafrika wangelimruhusu kijana huyu kuwatawala.<br />
<br />
Ninapiga picha kampeni za uchaguzi jinsi ambavyo zingekkuwa ni za kuchafuana.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-40851785722258492712015-01-10T11:02:00.002-08:002015-01-10T11:02:25.124-08:00AJALI YA SHANGINGI LA SUGU MLIMA KITONGA LEO<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-_bPwh7JGqpw/VLF3JaUjHVI/AAAAAAAAAVw/iD66HWolaZ4/s1600/SUGU.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-_bPwh7JGqpw/VLF3JaUjHVI/AAAAAAAAAVw/iD66HWolaZ4/s1600/SUGU.jpg" height="238" width="320" /></a></div>
<br />
Mbunge Sugu wa Mbeya mjini kapata <a href="http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/mbunge-wa-mbeya-mjini-apata-ajali-mlima-kitonga">ajali</a> leo Mlima KitongaInnocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-16497516431289506142015-01-10T10:03:00.002-08:002015-01-10T10:06:35.156-08:00HAYA ETI YALIJIRI SAKATA LA BUNGE LA EALA!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-3-489XBE7FI/VLFqBmycmZI/AAAAAAAAAVg/vT9kMfB760k/s1600/Speaker%2BZziwa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-3-489XBE7FI/VLFqBmycmZI/AAAAAAAAAVg/vT9kMfB760k/s1600/Speaker%2BZziwa.jpg" height="215" width="320" /></a></div>
<br />
Kwa kweli ukifuatilia lile sakata la mwishoni mwa mwaka jana Bunge la EALA ambapo wawakilishi wetu walikuwa wakimuunga mkono Spika Margreth Zziwa kwa sana, lilikuwa limejaa mambo mengi sana ya kiajabuajabu. <a href="http://www.monitor.co.ug/SpecialReports/How-Zziwa-lost-trust-of-Eala-members/-/688342/2583786/-/item/3/-/fe2t0pz/-/index.html">Ona</a>, jinsi mambo ya mizengwe ya kisiasa za kiafrika yalivyotawala.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-6092068789423971272015-01-10T09:54:00.002-08:002015-01-10T09:54:39.836-08:00HAPPY NEW YEAR MARAFIKI WASOMAJI NA WAANDISHINinawatakia Heri ya Mwaka Mpya wa 2015; ni mwaka ambao nimeamua tena niamke kuanza kuandika. Kwa kweli nilikuwa nimekaa kimya kwa miaka kadhaa sasa; lakini umefika wakati sasa inabidi nianze kusema kwa maandishi hisia zangu mbalimbali. Ninawaahidi wale wote walionikosa basi nimerejea, kila wiki nitajitahidi kuleta dira yangu.<br />
<br />
Nawaombeni sana tushirikiane kwa maoni.<br />
<br />Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-11084556818618326132014-09-14T15:36:00.001-07:002015-01-10T10:10:22.605-08:00AZAM FC - MRADI UNAOPOTEZA MWELEKEO<div style="text-align: justify;">
Huwa sina mazoea ya kufuatilia kwa karibu mechi za ligi kuu Tanzania bara kwa miaka kadhaa sasa. Nakumbuka tangu enzi zile za hamasa ya soka la Tanzania miaka ya mwishoni mwa 1980 hadi katikati ya 1990 enzi za Pamba ya Mwanza, Coastal Union na African Sports za Tanga, Ushirika ya Moshi, Tukuyu Stars ya Mbeya, Majimaji ya Songea, Reli ya Morogoro, Ndovu ya Arusha, RTC Kigoma, Biashara Shinyanga, Malindi, Small Simba, Miembeni, KMKM na Jamhuri na hata Shangani za Zanzibar kwa kweli kulikuwa na mpira wa ushindani.Baada ya hapo, Simba na Yanga zimetawala soka la bongo na kuua kabisa soka la mikoani na soka zima Tanzania limehamia Dar es salaam tu. </div>
<div style="text-align: justify;">
Tangu hapo kidogo sikuwa mfuatiliaji kabisa wa soka letu ila kuibuka kwa Azam FC kulinipa hamasa ya kuweka jicho langu katika soka letu; na ni kipindi hichohicho ambapo timu ya Taifa Stars ilikuwa chini ya Marcio Maximo, mtaalam kutoka Brazil ambaye binafsi naamini kwa miaka 20 iliyopita Taifa letu halijawahi kupata mtu sahihi kuongoza timu yetu ukiacha mtu huyu. Kimsingi, ndiye pekee aliyeleta "professionalism" katika soka letu lakini kama kawaida yetu tulimtimua na tangu aondoke hadi leo tumerudi kule tulikokuwa kabla ya kuja kwake. </div>
<div style="text-align: justify;">
Marcio Maximo, amerejea tena katika soka la Bongo; na sasa si kocha wa timu ya Taifa bali ni wa klabu ya Yanga ya Dar es salaam. Tangu afike ameiweka timu yake kambini mafichoni Dar es salaam na baadaye Zanzibar huko kisiwani Pemba akiwanoa vijana wake kujiandaa na msimu mpya wa ligi. Mengi yamesemwa na kuandikwa na majarida kadhaa ya spoti hapa nchini; na kwa kusifia ubora wa timu yake hasa juu ya wachezaji wawili kutoka Brazili ambao Maximo amekuja nao yaani Jaja na Coutihno. </div>
<div style="text-align: justify;">
Hatimaye, pambano maalum la kufungua pazia la msimu wa ligi kuu Tanzania bara lilifunguliwa jana, Yanga ilicheza na Azam; ni pambano ambalo watu walitarajia mabingwa watetezi Azam wangeshinda lakini kinyume chake mchezo wenyewe umeonesha wazi kuna wigo mpana wa soka kati ya Yanga na Azam. Hapa namaanisha, Azam bado imeonekana ni timu dhaifu; timu isiyokuwa na makali yanayoendana na thamani ya uwekezaji katika miundombinu na hata aina ya malezi ya timu hiyo ya Mbagala. Katika mechi hii, Yanga waliwabwaga Azam mabao 3 - 0. Ni mechi ambayo iliamuliwa kipindi cha pili ambapo Yanga waliwafunika kabisa Azam.</div>
<div style="text-align: justify;">
Binafsi, mechi hii imenifanya nione kuna mapungufu mengi sana katika uendeshaji na usimamizi wa timu ya Azam. Nina mashaka sana kama kweli pale "Chamazi" wako watu sahihi wa kusimamia mradi mkubwa kama huu. Sidhani kama menejimenti ya Kampuni ya Azam wanao watu wenye uelewa hasa wa uendeshaji wa "Soccer Academy" na usimamizi wa timu. Ninatatizika sana manake ninaamini ni aibu kubwa kwa hatua ambayo timu hii imefikia kwani kimchezo siku za karibuni timu hii imekuwa ikishuka badala ya kupanda. Timu hii imekuwa na maandalizi ya muda mrefu sana lakini hayajaonekana kabisa katika mechi yao na Yanga.</div>
<div style="text-align: justify;">
Timu ya Azam imeshiriki mashindano ya CECAFA na pia haikucheza katika kiwango bora kinacholingana na uzito wa uwekezaji na ubora wa mazingira ya wachezaji wa timu hii. Binafsi siridhishwi na benchi la ufundi la timu hii na pia hata namna usajili wa timu hii unavyofanyika. Naisubiri timu hii ianze harakati zake za Kombe la Mabingwa Afrika nione itakuwaje; manake, kama hali itaendelea hivi, kuna hatari timu hii itatolewa kama ilivyo kawaida kwa timu zetu kutolewa kila mwaka katika hatua za awali.</div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa maono yangu, ninadhani, huu mradi wa soka Azam FC unahitaji wataalam kutoka nje ya nchi yetu ndio uweze kuwa na mwanga; kinyume chake tutabaki tunapiga blabla tu na fedha zitapotea bure. Ninaamini pale Azam pamejaa ubabaishaji wa kiafrika na ni wazi kuna safari ndefu kufikia mafanikio. Ninasema hivi kwasababu, kwa mfano, Marcio Maximo akiwa na Taifa Stars alifanikiwa kujenga misingi ya kiuweledi "professionalism" miongoni mwa wadau wa soka na wachezaji. Hali hii ilileta mafanikio kwa kiasi kikubwa lakini tangu aondoke na wakaja wengine ambao waliruhusu kuingiliwa na viongozi na wale wanaojiita "wadau wa soka" tumerudi kulekule tulikokuwa kabla ya kuja kwa Maximo. Ni mtizamo wangu binafsi kuwa si ajabu Azam mambo yake yanaendeshwa kama zilivyo timu zetu za Yanga na Simba.</div>
<div style="text-align: justify;">
Mwisho, ni wazi msimu huu timu ya Yanga itakuwa ni nzuri sana; kwa kuwa iko chini ya Marcio Maximo, mtu ambaye tunafahamu ni anayeheshimu misingi ya kazi kiuweledi basi natarajia mafanikio kwani pia ikumbukwe kuwa uongozi wa timu ya Yanga unaonekana ni wenye watu wanaopenda mambo yaendeshwe kiufundi zaidi na siyo kutegemea mbinu chafu hasa zinazoegemea pesa kuliko maarifa.Ingawa kama viongozi wa Yanga watalewa sifa na warejee kulekule tulikozoea na wakashindwana na Maximo naamini tutarudi palepale, yaani kutafuta mafanikio kwa njia ya mkato.</div>
<div style="text-align: justify;">
Nimalizie kwa kusema: Azam FC unaonekana ni mradi unaopoteza mwelekeo kwani ukiangalia timu zenye mafanikio barani Afrika kama vile TP Mazembe, Al Ahly, Zamalek, Sfaxien, Esperance, Enyimba, Asec zote hazikutumia wataalam wa kiafrika kuweza kupata mafanikio; zilileta wataalam wenye weledi na sio wababaishaji. Ufike wakati Azam wajitathmini na watafute wataalam kutoka huko kuliko na soka la ukweli.</div>
Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com7tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-41950984233542267642013-04-28T12:49:00.002-07:002013-04-28T13:04:11.653-07:00IDDI AMINI ALIVYONG"OLEWAIddi Amin aliondolewa madarakani na majeshi ya <a href="http://www.monitor.co.ug/SpecialReports/Guards-tie-up-Amin--force-him-into-car-as-regime-collapses/-/688342/1759186/-/651gqs/-/index.html">Tanzania kama hivi </a><br />
Baadaye ndege maalum ilitumwa na <a href="http://www.monitor.co.ug/Magazines/ThoughtIdeas/Gadaffi-s-plane-picks-Amin-from-Arua/-/689844/1760078/-/sygxfv/-/index.html">Ghadafi</a> kumchukua Idd AminInnocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-45827127294375343332013-04-21T02:18:00.001-07:002013-04-21T02:18:11.286-07:00IDDI AMINI NA UISLAMU - UGANDAWakati wa urais wa Iddi Amin jamii ya waislam ilipata <a href="http://www.newvision.co.ug/news/641771-idi-amin-islam-and-muslims-in-uganda.html">matatizo mengi</a>.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-47917018256251554372013-04-21T02:03:00.003-07:002013-04-21T02:03:42.176-07:00SABABU ZA VITA YA KAGERA 1979Uganda na Tanzania ilikuwa kwenye vita baada ya kile kilichodaiwa kuwa ni uvamizi wa Uganda katika eneo la Kagera hivyo Tanzania ikalazimika kulipiza kisasi. Je ilikuwa sahihi kwa Tanzania kuyafukuza majeshi ya Idd Amin alafu kwenda hadi Kampala na kumpindua Idd Amin? Je ni nini ukweli wa kilichojiri? Msome mtoto wa rais wa wakati huo wa Uganda Idd Amini <a href="http://www.monitor.co.ug/SpecialReports/Idi-Amin-s-son-relives-his-father-s-years-at-the-helm/-/688342/1746682/-/3dm1k1/-/index.html">uelewe hali halisi ilikuwaje</a>?<br />
Pia unaweza kuona jinsi ambavyo Idd Amin wakati jahazi likizama alivyojaribu <a href="http://www.monitor.co.ug/SpecialReports/How-Idi-Amin-rescued-his--children-from-Kabale/-/688342/1752984/-/a1d6o9/-/index.html">kutoroka na familia yake</a> kuanzia shuleni hadi kuwatorosha kwenda Libya kwa <a href="http://www.monitor.co.ug/Magazines/ThoughtIdeas/How-Amin-smuggled-his-family-from-Entebbe-fire-to-Libya/-/689844/1753568/-/11f6key/-/index.html">rafiki yake Muhamor Ghadafi</a>.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-68291726915750226822013-03-09T02:22:00.001-08:002013-03-09T02:22:16.009-08:00UHURU KENYATTA ASHINDA URAIS KENYA<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-co66_Lpp8bI/UTsM6o5QdJI/AAAAAAAAASw/pVPndikqKKQ/s1600/Uhuru.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="http://1.bp.blogspot.com/-co66_Lpp8bI/UTsM6o5QdJI/AAAAAAAAASw/pVPndikqKKQ/s320/Uhuru.jpg" width="245" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-t9fAXON3vVU/UTsNFDKOxqI/AAAAAAAAAS4/j9CpJQ7gbvg/s1600/ruto.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="215" src="http://1.bp.blogspot.com/-t9fAXON3vVU/UTsNFDKOxqI/AAAAAAAAAS4/j9CpJQ7gbvg/s320/ruto.jpg" width="320" /></a></div>
Uhuru Muigai Kenyatta ameshinda urais wa Kenya kupitia muungano wa Jubilee kati ya chama chake cha TNA na URP cha Willium Ruto ambaye atakuwa makamu wa Raisi. Ni uchaguzi ambao umeendeshwa kwa umakini mkubwa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC) ingawa imechukuwa siku nyingi kwa matokeo kutangazwa. Kimsingi ni uchaguzi ambao utakuwa umeuwa ndoto ya kisiasa ya Raila Odinga kuwa Raisi wa Kenya maisha yake yote. Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-43038010522460174172013-02-19T05:05:00.000-08:002013-02-19T05:05:46.851-08:00UPDF CHINI YA MTOTO WA MUSEVENI UGANDA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-FLwpvGRTI6k/USN27sWbakI/AAAAAAAAASg/sTFIjVaAtD0/s1600/M7+son.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="215" src="http://3.bp.blogspot.com/-FLwpvGRTI6k/USN27sWbakI/AAAAAAAAASg/sTFIjVaAtD0/s320/M7+son.jpg" width="320" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-d-ECj-P3oJw/USN2RcwG2MI/AAAAAAAAASY/ZYoUB5eO6f4/s1600/muhoozi2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="154" src="http://3.bp.blogspot.com/-d-ECj-P3oJw/USN2RcwG2MI/AAAAAAAAASY/ZYoUB5eO6f4/s320/muhoozi2.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Raisi Yoweri Kaguta Museveni ni kiongozi ambaye amefanikiwa kuirejesha Uganda katika ramani ya dunia kutoka katika hali isiyokuwa ya utulivu hadi katika maendeleo. Wakati anakaribia kustaafu; ameamua kulifanya <a href="http://www.independent.co.ug/cover-story/7454?task=view">Jeshi la nchi hiyo kuwa chini ya mtoto wake Muhoozi Kainerugaba.</a><br />
Raisi Museveni tayari amepinga imani ya baadhi ya wapinzani wake juu ya hiki kinachoonekana ni kumuandaa mtoto wake <a href="http://www.monitor.co.ug/News/National/-/688334/1696598/-/998djaz/-/index.html">Muhoozi kama ndiye mtu mwenye nguvu kuliko Mkuu wa Majesh</a>i.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-66499602523169143702013-02-09T13:55:00.000-08:002013-02-09T14:45:09.034-08:00KENYA – KAMPENI ZA KUKUMBUSHIA UADUI WA KIFAMILIA<div style="text-align: center;">
<h4>
<b>Raila Odinga vs Uhuru Kenyatta</b> </h4>
</div>
<h4>
<br /></h4>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Mwanzoni mwa miaka 1980 Jaramogi Oginga Odinga alikuwa katika wakati mzuri kujifufua kisiasa na akatumia nafasi ya kisiasa kumsimanga rais wa kwanza wa Kenya Jomo Kenyatta kama mkwapuaji wa ardhi. Leo hii Raila Odinga, mtoto wake anayegombea urais wa Kenya kwa Muungano wa Mageuzi na Demokrasia - CORD naye anatumia kibwagizo cha baba yake kwa kusema kuwa Uhuru Kenyatta, mgombea wa Muungano wa Jubilee ni mkwapuaji ardhi. </h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Ukitizama historia ya Kenya, baada ya kifo cha rais Jomo Kenyatta na Rais Daniel Arap Moi kuchukua nafasi yake mwaka 1978, alijaribu kuhakikisha wapigania uhuru wote ambao walihitilafiana na hayati rais Kenyatta anawarudisha serikalini na kuwapa vyeo katika kujaribu kujenga umoja wa kitaifa. Oginga Odinga aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya Pamba ambayo ilimuwezesha kurudia harakati zake za kisiasa.
Siku moja alihutubia mkutano wa hadhara aliamua aeleze ni kwanini alikosana na Hayati Kenyatta na akasema sababu kubwa ilikuwa eti rais Kenyatta alikuwa rais aliyekuwa anatetea wachache matajiri wakati yeye alikuwa anaamini katika falsafa ya fursa sawa katika kumiliki ardhi na kuwapa upendeleo maalum kwa masikini wanaohitaji ardhi. Baada ya Oginga Odinga kuueleza umma ni kwanini alikosana na hayati Kenyatta, rais Daniel Arap Moi alichukizwa na kauli zake na mara moja aliagizwa akamatwe tena na akawekwa kizuizini hadi miaka ya 1990 wakati harakati za demokrasia ya vyama vingi ziliposhika kasi. </h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Kinachotokea kwa sasa nchini Kenya ni marudio ya enzi ambapo watoto wa Kenyatta na Oginga Odinga wanachuana katika kupata madaraka katika uchaguzi wa mwezi ujao. Suala la ardhi limejitokeza kuteka vichwa vya habari hasa pale Raila Odinga wakati akizindua kampeni zake za kisiasa alikumbushia kuwa familia ya Uhuru Kenyatta inamiliki ardhi kubwa ya ukubwa wa eneo zima la Jimbo la Nyanza. Katika kujaribu kujisafisha, Uhuru Kenyatta aliwambia watu katika kampeni zake kuwa kama kuna mtu ana ushahidi wa ukwapuaji wa ardhi uliofanywa nay eye akamshtaki mahakamani. Na akaongezea kuwa yeye si mkwapuaji ardhi ila Raila Odinga lazima ajibu tuhuma za kukwapua kiwanda cha molasses (sukari guru) huko Kisumu.</h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
WELEDI WA WAGOMBEA WA KISIASA </h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Kimsingi, Raila Odinga ameamua kutumia suala la ardhi kama eneo lenye udhaifu kwa weledi wa Uhuru Kenyatta. Nikumbushe kuwa hakuna mtu amewahi kupima na kujua ukubwa wa ardhi inayomilikwa na familia ya Kenyatta. Lakini inachukuliwa kama ni ukweli usiopingika kuwa ardhi ya familia ya Kenyatta inasemekana inaanzia Pwani ya Kenya hadi kukutana na Jimbo la Bonde la Ufa. Uhuru wa Kenyatta anabakia kuwa kama mtu anayeishi kwa kufaidi matunda yaliyokwapuliwa na baba yake; lakini tujiulize je ni sahihi kwa mtoto kulipa dhambi zilizofanywa na baba yake?
Kama watanzani ni vyema tujifunze kitu kutokana na yanayotokea nchini Kenya kwa sasa. Ardhi ni jambo la kuangaliwa kwa umakini sana duniani kote. Ninaiona hizi kukashifiana kati ya Kenyatta na Odinga kama kukosa busara na ni aina ya ubaguzi wa kisiasa uliojaa unafiki wa hali ya juu (disingenuous). </h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Ukifuatilia siasa za Kenya ni nchi ambayo ilichagua kufuata sera za kibepari ambazo zinazingatia umiliki binafsi wa mali (private ownership) na wala si umilikaji mali kwa pamoja (collectivism). Ubepari ni mfumo uliojaa kutokujali haki, usawa,na kushadidia utendaji wa kutokujali taratibu.
Kwa kuzingatia sera za kibepari, ardhi ikishanyakuliwa hairudi tena. Ukisoma historia, kwa mfano, wakati wavamizi kutoka uingereza waliponyakua ardhi za wenyeji wa Amerika kule Manhattan ndio ilipotea kabisa na walionyakuwa wakaiendeleza. Raila Odinga anachofanya ni kujaribu kupata umaarufu wa kisiasa (cheap politics) na wote wawili ni kielelezo cha siasa za hovyo za kiafrika. Raila Odinga anachotukumbusha ni kuwa sasa ni wakati kwa Uhuru Kenyatta kuona ukwapuaji wa ardhi uliofanywa na baba yake anaurekebisha kwa kuwarudishia ardhi hiyo wale ambao hawana ardhi na walifukuzwa maeneo hayo wakati huo wa ukoloni.</h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Ni jukumu la wanasiasa wa leo kutuonesha kuwa dhambi za tawala za zamani zifutwe na zisiendelezwe tena kipindi cha sasa.
Yaani anamaanisha eti Uhuru Kenyatta anapaswa kutumia kampeni hizi kuwaahidi wakenya ambao walifukuzwa kwenye ardhi zao na kunyakuliwa na baba yake Mzee Kenyatta kuwa atawarudishia kiasi fulani cha ardhi ambayo baba yake alitumia madaraka vibaya kwa kuamua kujimegea ardhi kutoka kwa wakoloni wa kiingereza na kutowarudishia walionyang’anywa yaani Wakenya wenzake. </h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
WANASIASA NI WAONGO </h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Kimsingi, Uhuru Kenyatta alikuwa na umri mdogo sana wa miaka 15 wakati Mzee Kenyatta anafariki dunia. Kusema yeye ndiye aliyerithi ardhi ya baba yake ni makosa; ila ardhi hiyo ilirithiwa na mama yake (Mama Ngina) na ndugu wa familia nzima. Kama kweli Uhuru Kenyatta ataamua kuwarudishia ardhi wasio na ardhi nadhani itakuwa kama kuwahonga wapiga kura kwa sasa. Isipokuwa Uhuru Kenyatta kukataa kuwa yeye si mfaidika wa ukwapuaji ardhi Kenya inatufikisha mahali tuwe makini na wanasiasa wetu wa kiafrika. Ni waongo sana na si watu wa kukubali ukweli na kuukabili kama ulivyo.
Kwa upande wa Raila Odinga, yeye amekazia kumshambulia Uhuru Kenyatta na anawaahidi wakenya wakimchagua atahakikisha wenye ardhi kubwa wanazirudisha. Sina hakika kama yuko sahihi, ikumbukwe kuwa Kenya sasa inatawaliwa na Katiba mpya kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita sasa; na ukiisoma Katiba ya Kenya ndicho chombo pekee ambacho kimeweka utaratibu wa kuhakikisha wale walionyang’anywa ardhi wanarudishiwa.
Hakuna mwanasiasa yeyote atakayeweza kurudisha au kunyang’anya mtu ardhi.</h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
<br /></h4>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<h4>
Kama Raila Odinga anataka kuwa mkweli, ni bora aeleze ni jinsi gani atasimamia kuhakikisha Sera ya ardhi, Sheria ya Ardhi na Katiba ambayo imeweka kipengele (Sura nzima) maalum kueleza ni jinsi gani watu waliopoteza ardhi watarudishiwa au kulipwa fidia ya ardhi yao. Sera ya ardhi ya Kenya imeelezea kinagaubaga juu ya historia ya tatizo la ardhi nchini Kenya na ikaweka njia mbadala kutatua tatizo hili. Hii imejenga msingi kwa Katiba mpya ya Kenya kutekeleza sera ya ardhi.
Kwa ujumla, kampeni hii ya kufufua chuki za wazazi wa wagombea ni kielelezo kingine kuonesha kuwa kwa kiasi fulani wanasiasa wetu ni wabinafsi zaidi na kwenye kampeni hawazungumzi mambo ya msingi (issues) bali wanabakia wakizungumza siasa katika kutafuta mvuto wa kisiasa zaidi (political mileage). Tunapojiandaa kwa mabadiliko ya kisiasa Tanzania tunapaswa kuyachambua kwa kina matamko ya wanasiasa wetu. </h4>
</div>
<h4>
<br /></h4>
<h4>
TAMKO LA MUUNGANO WA <a href="http://elections.nation.co.ke/Blogs/Uhuru-on-why-land-is-a-campaign-issue/-/1632026/1689524/-/fvyscl/-/index.html">JUBILEE JUU YA ARDHI</a></h4>
<h4>
<br /></h4>
<h4 style="text-align: justify;">
TAMKO LA MUUNGANO WA <a href="http://elections.nation.co.ke/Blogs/Raila-on-why-land-is-a-campaign-issue/-/1632026/1689520/-/21cvp0/-/index.html">CORD JUU YA ARDHI</a>
</h4>
Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-8473859182825272012013-02-09T09:08:00.000-08:002013-02-09T09:08:31.616-08:00PAUL PUT - KOCHA WA BURKINAFASO<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-AcE9cxrJDug/URaCbkJxhTI/AAAAAAAAASI/mg67EvIW8us/s1600/Paul%2BPut.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="225" width="400" src="http://4.bp.blogspot.com/-AcE9cxrJDug/URaCbkJxhTI/AAAAAAAAASI/mg67EvIW8us/s400/Paul%2BPut.jpg" /></a></div>
Huyu ni <a href="http://www.bbc.co.uk/sport/0/football/21391153">kocha wa Burkinafaso</a>; amepata mafanikio na ni kocha ambaye kwao Ubelgiji anachunguzwa kwa kashfa ya kupanga matokeo.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-74211682824602808072013-02-09T08:50:00.001-08:002013-02-09T09:29:11.892-08:00ALEX FERGUSON AFANYA INTERVIEW KALI<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-H2zop9y4JMg/URZ_LJGpJfI/AAAAAAAAARw/ZO6nXhemDYE/s1600/sir%2Balex.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="225" width="400" src="http://2.bp.blogspot.com/-H2zop9y4JMg/URZ_LJGpJfI/AAAAAAAAARw/ZO6nXhemDYE/s400/sir%2Balex.jpg" /></a></div>
Kocha Alex Ferguson wa Man U amefanya mahojiano na gazeti moja huko Uingereza <a href="http://www.bbc.co.uk/sport/0/football/21391194">(Football Focus)</a> na kuzungumzia mambo mengi kuhusu ufundishaji na menejiment ya timu ya mpira wa miguu hasa wakati wake akiwa na Klabu ya Man U. Amezungumzia mambo kadhaa ya msingi katika maeneo yafuatayo:
1. KUHUSU MAN CITY: Anasema ni timu hatari na wapinzani wao haswa kwa sasa kama ilivyokuwa zamani ilivyokuwa Chelsea.
2. KUHUSU RVP: Sir Alex anasema hakuwahi kudhani siku moja angeliweza kumsajili Robin Van Persie. Anasema alizungumza muda mrefu na Wenger na majadiliano yao yalikuwa mazuri ingawa hakudhani Arsenal wangekubali kumuuzia mchezaji huyo. Ila aligundua baadaye Arsenal waligundua RVP anataka kuhama na hivyo ikawa rahisi kumpata.
3.UCHEZAJI WA RVP: Ni mchezaji mwenye ujuzi wa mchezo na uwezo wake umetoa faraja kwa watu wote hapa Man U.
4. UMUHIMU WA KUHUDHURIA MAZOEZI: Sir Alex anasema hajawahi kuacha kuhudhuria vipindi vya mazoezi hata siku moja. Uangalizi wake ni muhimu sana katika kipindi hiki cha maisha yake.
5. SUALA LA UFUASI KATIKA MCHEZO WA MPIRA:Sir Alex anasema hivi: "Wapo watu miongoni mwa wasaidizi/wafanyakazi wangu ambao wamekuwa na mimi kwa miaka 20 au zaidi. Hii inaleta hali ya ufuasi kwangu na mimi kwao pia".
6.KISASILI/MYTHIOLOGIA ZAKE: Sir Alex anazungumziaje kuhusu visasili juu ya maisha yake? "Visasili ni vingi sana juu ya maisha ya watu waliofanikiwa. Mojawapo ya uzushi mkubwa juu ya maisha yangu ni eti nimewahi kufanya kazi kwenye bandari. Anasema hajawahi kufanya kazi bandarini kamwe, ila baba yake, kaka zake na wajomba zake walifanya kazi bandarini.Sir Alex anadai kuwa alikuwa mwerevu zaidi (intelligent) kutokufanya kazi za bandari.
7. JOSE MOURINHO: Sir Alex anadai huyu ni mtu anayependa kucheza na mchezo wa kupandisha presha "mind game" dhidi ya timu pinzani. Huwezi kujua atafanya nini huwa hashindani naye kwani huwezi kumshinda. Anasema "huwa sishindani naye na huwa ananiletea chupa ya wine kila mara.
8. REAL MADRID: Nawaangali Real Madrid kila weekend usiku; aliwaangalia wakicheza na Granada na anaamini Ronaldo alifunga goli zuri sana ila tu ilikuwa ni siku ya Granada. Kuhusu mchezo wa Champions ligi dhidi ya Madrid (13/2/2013) anasema anawajua uimara wao na ni lazima apange kikosi sahihi siku hiyo ili washinde. Utakuwa mchezo mgumu sana na hawa jamaa hawafungiki kirahisi Bernabeu.
9. WACHEZAJI KUWA MAKOCHA: Sir Alex anasema: "Tunaona hali ambapo mtu anakuwa mchezaji leo alafu baadaye kocha.Hebu niambieni hii inawezekanaje? Ninajisomea sana kuhusu kuwaharakisha wachezaji kuwa mameneja eti kwasababu tu wamewahi kuwa wachezaji wa kimataifa.Haijalishi mtu umekuwa mchezaji wa kimataifa au hujawahi kucheza ligi yoyote, ili kuwa na mafanikio katika kazi ya umeneja wa timu ni lazima uwe na kipindi kirefu cha kujifunza chini ya uangalizi wa meneja mzoefu.
10.KUSTAAFU KAZI YA UMENEJA: "Hili swali linajirudia mara nyingi kadri ninavyoendelea kuzeeka.Nadhani jambo la msingi ni kwa vipi ninajisikia. Kadri mtu unavyozeeka hali afya haitabiriki hasa katika umri wa miaka 70 na kuendelea. Hadi sasa hivi hali yangu ya afya ni murua; ila huwezi kujua".Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-15521508344776872662013-01-30T22:12:00.000-08:002013-01-30T22:12:45.326-08:00JESHI KUCHUKUA SERIKALI UGANDA?Kuna kila dalili Rais Museveni anazeeka na hataki madaraka yaende kwingine zaidi ya taasisi pekee anayoiamini: Yaani <a href="http://www.independent.co.ug/cover-story/7320?task=view">Jeshi la Uganda</a>. tayari kaonesha kuwa atatengeneza mapinduzi ya kijeshi; kwa maana nyingine atajipindua mwenyewe ili madaraka yabakie chini ya jeshi akiamini itampa wakati mzuri wa kkustaafu.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-20533692274784762832013-01-30T22:01:00.001-08:002013-01-30T22:01:55.328-08:00ALIYEPIGA RISASI YA KWANZA UKOMBOZI WA UGANDA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-8kpF4rX06E4/UQoIlBsv26I/AAAAAAAAARY/bjWOFjKCGQU/s1600/Gen-tumwine.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="400" width="393" src="http://4.bp.blogspot.com/-8kpF4rX06E4/UQoIlBsv26I/AAAAAAAAARY/bjWOFjKCGQU/s400/Gen-tumwine.jpg" /></a></div>
<a href="http://www.observer.ug/index.php?option=com_content&view=article&id=23437:gen-tumwine-on-the-state-of-nrm&catid=34:news&Itemid=114">Generali Elly Tumwine</a> ndiye askari aliyefyatua risasi ya kwanza kuashiria vita ya ukombozi wa Uganda chini ya chama cha Rais Museveni NRM wakati huo kikiitwa NRA. Huyu bwana ana mengi ya kuyafahamu na ni jinsi gani anajisikia kuhusu maendeleo ya Uganda kwa sasa.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-71904844913822771352013-01-29T08:05:00.001-08:002013-01-29T08:05:07.492-08:00KIZUNGUMKUTI CHA UTAJIRI WA DRCEti <a href="http://www.independent.co.ug/the-last-word/the-last-word/7319?task=view">si kweli kuwa DRC ni nchi tajiri</a> na Rwanda inafuata utajiri wake.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-30368814674606429882013-01-29T07:47:00.001-08:002013-01-29T07:47:44.139-08:00GESI YA MTWARA NA HISTORIA YA UKOMBOZI WA WANYONGEVita kati ya Matajiri na Masikini Tanzania ndiyo taswira ya yanayojiri kule Mtwara. J<a href="http://www.theeastafrican.co.ke/OpEd/comment/Across-Africa-the-natives-are-restless/-/434750/1675786/-/2r72gd/-/index.html">enerali Ulimwengu</a> anamulika jambo hili na anaonya matajiri (elites) wakae chonjo.
Anakazia na kukumbusha historia tangu enzi ya Wayahudi utumwani Misri hadi Ubepari mkongwe kwenye viwanda vya Nike kule bara Asia, masikini wanateseka na ni wengi kweli ila mapambano yao yanaendelea. Ni vita iliyopitia enzi za The Magna Carta (1215), Oliver Cromwell’s rebellion (1640s)hadi The French Revolution (1789)iliyowakomboa wanyonge lakini moto wake ukazimika na Russian Revolution (1917).
Je nchi yetu itaweza kuondokana na tatizo hili tukizingatia kuwa tawala za kiafrika nyingi ni mawakala wa mabepari?Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-59799427952557301392013-01-02T08:59:00.000-08:002013-01-02T09:20:10.371-08:00MBUNGE MACHACHARI AUAWA UGANDA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-krxo8TiyuCc/UORnDm-KP6I/AAAAAAAAARE/R5dmQhEV5M0/s1600/NEBANDA.gif" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="209" width="400" src="http://3.bp.blogspot.com/-krxo8TiyuCc/UORnDm-KP6I/AAAAAAAAARE/R5dmQhEV5M0/s400/NEBANDA.gif" /></a></div>
Kama ilivyo kawaida kwa siasa za Africa, ukiwa mwanasiasa wa kiafrika, usijaribu kusimamia maslahi ya umma hadi utishie maslahi ya watawala. Watakukolimba, ndivyo inavyooonekana huko Uganda.
Mbunge mwanamke,na kijana mdogo, msichana bado mbichi kabisa <a href="http://www.independent.co.ug/cover-story/7090-cerinah-nebandas-death-raises-questions">CERINA NEBANDA</a> amefariki katika mazingira ya utatanishi mkubwa. Ni mbunge ambaye alikkuwa miongoni mwa kundi la wabunge wa chama tawala NRM waliojulikana kama Rebels au Waasi" kwa ukosoaji mkubwa wa serikali ya chama chao.
Kifo hiki kimeleta <a href="http://www.observer.ug/index.php?option=com_content&view=article&id=22913:museveni-faces-mps-revolt-over-nebanda&catid=34:news&Itemid=114">msuguano kati ya Serikali ya Museveni na wabunge</a> na inaonekana kuna wabunge wanafanya juhudi kwa serikali kufanya juu chini ili ripoti ya kifo hiki ijulikane kisayansi.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-79735752567378236362012-10-10T02:54:00.001-07:002012-10-10T02:55:28.283-07:00UGANDA @ 50<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-vr7TJu3myAY/UHVFFXH1agI/AAAAAAAAAQk/29IzuXjmBG4/s1600/BENDERA.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="211" width="400" src="http://2.bp.blogspot.com/-vr7TJu3myAY/UHVFFXH1agI/AAAAAAAAAQk/29IzuXjmBG4/s400/BENDERA.jpg" /></a></div>
Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-30525052534809459632012-10-10T02:36:00.000-07:002012-10-10T02:36:34.067-07:00MUSEVENI = NYERERE TANZANIA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-PyrJU6WbYOw/UHVBil91VAI/AAAAAAAAAQM/sJ1liwZZVBY/s1600/independence009.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="267" width="400" src="http://3.bp.blogspot.com/-PyrJU6WbYOw/UHVBil91VAI/AAAAAAAAAQM/sJ1liwZZVBY/s400/independence009.jpg" /></a></div>
Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-73793696570764214742012-10-10T02:28:00.001-07:002012-10-10T02:28:32.652-07:00MIAKA 50 UHURU WA UGANDAUganda imetimiza <a href="http://www.monitor.co.ug/News/National/Golden+jubilee+celebrations++A+rich+display+of+our+Ugandaness/-/688334/1529846/-/12k9i8sz/-/index.html">miaka 50</a> kwa kufanya maadhimisho ingawa siyo ya mmbwembwe kibao na gharama kama Tanzania ilivyofanya.Museveni ndiye aliyekuwa mwenyeji wa maadhimisho yaliyofanyika katika viwanja vya Kololo jijini Kampala.
Makamu wa Raisi wa Tanzania Dr. Bilali alihudhuria.
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-wUnhZ6_F3vM/UHU9SDOfQdI/AAAAAAAAAPc/qcD5xO9JwII/s1600/gwaride%2BM7.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="209" width="400" src="http://3.bp.blogspot.com/-wUnhZ6_F3vM/UHU9SDOfQdI/AAAAAAAAAPc/qcD5xO9JwII/s400/gwaride%2BM7.jpg" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-kxTX_tEQHu4/UHU9TI_0vLI/AAAAAAAAAPo/Mv02dBmZKi8/s1600/Vc%2BBilali.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="267" width="400" src="http://4.bp.blogspot.com/-kxTX_tEQHu4/UHU9TI_0vLI/AAAAAAAAAPo/Mv02dBmZKi8/s400/Vc%2BBilali.jpg" /></a></div>
Rais Museveni alitangaza jana <a href="http://www.monitor.co.ug/News/National/Museveni+s+new+10+point+plan/-/688334/1529834/-/k7a6qsz/-/index.html">mambo 10 yatakayoifanya </a>Uganda kuwa Taifa la maendeleo ya hali ya juu kiuchumi miaka mingine 50 ijayo.Pamoja na mambo hayo 10, ni wazi Museveni sasa <a href="http://www.theeastafrican.co.ke/OpEd/comment/End+of+an+era+as+Museveni+prepares+to+leave+at+last/-/434750/1526668/-/7noq6fz/-/index.html">anaondoka madarakani </a>atake asitake na haijulikani kama mtoto wake ndiye atakayerithi au la.
Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-19984297906074587372012-08-16T09:24:00.000-07:002012-08-16T09:24:47.571-07:00KIPROTICH ALIKUWA NA DHAMIRA YA KUTWAA MEDALI OLIMPIKIDhamira ya kutwaa medali kwa mwanariadha wa Uganda Stephen Kiprotich yalikuwepo tangu alipoondooka nyumbani kwao Kijijini huko Kapchorwa. Alimuaga mke wake na kumtamkia kkuwa lazima arudi na medali. <a href="http://www.newvision.co.ug/news/634056-the-road-to-gold.html">Dhamira yake inashuhudiwa na mke wake hapa</a>.
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-PI0AFgLp_5A/UC0edlh9yUI/AAAAAAAAAPE/SXa5lQ9PnyQ/s1600/Kip%2Bchumbani.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="195" width="300" src="http://3.bp.blogspot.com/-PI0AFgLp_5A/UC0edlh9yUI/AAAAAAAAAPE/SXa5lQ9PnyQ/s400/Kip%2Bchumbani.jpg" /></a></div>
Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-33622694814988907062012-08-16T09:15:00.005-07:002012-08-16T09:15:49.083-07:00UGANDA INAVYOMTHAMINI MSHINDI WA DHAHABU OLYMPICStephen Kiprotich ndiye mshindi wa mbio za nyika (marathon) katika michezo ya Olimpiki ya London iliyokwisha jumapili iliyopita.
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-1DDu-Vjpfyo/UC0aqGD4G1I/AAAAAAAAAOg/S9J1PU-HQac/s1600/Kip%2Bgwaride.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="291" width="400" src="http://4.bp.blogspot.com/-1DDu-Vjpfyo/UC0aqGD4G1I/AAAAAAAAAOg/S9J1PU-HQac/s400/Kip%2Bgwaride.jpg" /></a></div>
Rais Yoweri Museveni amewaongoza waganda kumpokea kijana huyu ambaye anatoka katika familia masikini ya kiafrika kule Kaskazini mwa Uganda eneo la Kapchorwa. Rais <a href="http://www.newvision.co.ug/news/634178-kiprotich-cools-off-in-five-star-hotel.html">Museveni ameweza kuwaalika wazazi</a> wa kijana huyu Ikulu hapo jana na waganda wamechanga fedha nyingi sana kumzawadia kijana huyu.
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-x6fPZIb_aJ4/UC0apY3ZlkI/AAAAAAAAAOI/vYuvjWW3ynU/s1600/Kip%2BIkulu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="275" width="400" src="http://2.bp.blogspot.com/-x6fPZIb_aJ4/UC0apY3ZlkI/AAAAAAAAAOI/vYuvjWW3ynU/s400/Kip%2BIkulu.jpg" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-g2ijRPrTPm8/UC0ap_kq8gI/AAAAAAAAAOU/2w9Nb52In9E/s1600/Kip%2Bgwaride.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="291" width="400" src="http://1.bp.blogspot.com/-g2ijRPrTPm8/UC0ap_kq8gI/AAAAAAAAAOU/2w9Nb52In9E/s400/Kip%2Bgwaride.jpg" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-9XhXBiRD1zQ/UC0b1mAcHPI/AAAAAAAAAO4/tb7wIN5k5x4/s1600/Kip%2Bna%2Bwashindi%2Bwengine.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="290" width="400" src="http://2.bp.blogspot.com/-9XhXBiRD1zQ/UC0b1mAcHPI/AAAAAAAAAO4/tb7wIN5k5x4/s400/Kip%2Bna%2Bwashindi%2Bwengine.jpg" /></a></div>
Kijana huyu <a href="http://www.newvision.co.ug/news/634137-meeting-kiprotichs-sweetheart-and-home.html">ana mke na walikuwa wanaishi kijijini </a>kabisa maisha ya kienyeji kabisa; na ndiye amekuwa akiibeba familia yake wazazi na ndugu zake.Siku ya jumatatu wiki hii kijana huyu aliwasili Kampala na amekuwa akilakiwa kila mahali alipokwenda, hii imejumuisha kukagua gwaride maalum uwanja wa ndege; na <a href="http://www.newvision.co.ug/news/634173-busiest-day-ever-for-kiprotich.html">kutembelea Ikulu.</a>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-49iy6IDzIAs/UC0b1UmygbI/AAAAAAAAAOs/tH7US1Qd6IY/s1600/Kip%2Bwazazi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="275" width="400" src="http://3.bp.blogspot.com/-49iy6IDzIAs/UC0b1UmygbI/AAAAAAAAAOs/tH7US1Qd6IY/s400/Kip%2Bwazazi.jpg" /></a></div>
Kuonesha jinsi gani Waganda wanamjali mwanamichezo shujaa huyu, gazeti la serikali "New Vision" limeandaa utaratibu wa kumchangia kiasi cha dola za Marekani 500 Milioni kama zawadi kupitia wasomaji wake. Hadi naandika ilikuwa tayari kuna dola 375milioni.
Mimi binafsi Kiprotich amenifurahisha sana na ninadhani ni funzo kwa watanzania vijana kibao ambao wamejazana mitaani eti hawana kazi.
Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-7340029307916433862012-07-28T00:29:00.001-07:002012-07-28T00:29:04.705-07:00OLYMPIC IMEANZA RASMI LONDONMichezo ya Olimpiki imeanza na Tanzania kama kawaida imepeleka timu ya wachezaji sita (6) tu. Ni kiohoja lakini kama kawaida yetu ndo tulivyo yaani hatuna habari na kuwa serious ila tumebakia kila mtu anawaza kupata fedha tu bila kujali zinakujaje. Nasema hivi kwani nionavyo, sidhani kama tutaambulia kitu katika michezo hii; sanasana tunakwenda kutalii.
Ninaguswa kwani nchi yetu ni masikini sana, ina vijana wengi wamejaa vijuweni hawana cha kufanya ila miongoni mwao wangeandaaliwa nadhani leo tungekuwa na angalau timu ya watu kama mia moja hivi na kwa hakika tungekuwa na uhakika wa medali angalau hata moja.
Napendekeza tubadilike, leo naangazia mchezo wa ndondi, je bondia wa Tanzania atafanyaje? Leo anacheza pambano la kwanza.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-15520660.post-84268756332073324202012-01-14T23:21:00.000-08:002012-01-14T23:23:35.686-08:00AJALI YAUA MBUNGEImekuwa desturi sasa kila kunapokaribia kipindi cha bunge, lazima afe mbunge. <a href="http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/gari-la-mbunge-wa-viti-maalumu-chadema.html">Hii nyingine tena</a>.Innocent Kasyatehttp://www.blogger.com/profile/07180217466084036870noreply@blogger.com3