My Blog List

Thursday, October 25, 2007

KWAHERI MAMA MBATIA

Ni habari za kusikitisha Naibu waziri wa wizara ya Maendeleo ya Wanawake, Jinsia na Watoto amefariki kwa ajali ya gari jana huko mkoani Iringa. Picha hii ni dhihirisho la ubaya wa ajali hiyo.
Huu ni mwaka wa ajali nyingi sana hasa kwa viongozi wetu, ni wazi kuna tatizo kubwa katika matumizi bora dhidi ya watumiaji wa vyombo vya moto.

1 comment:

Anonymous said...

mungu amlaze mama yetu mpedwa peponi AMEN