My Blog List

Saturday, November 10, 2007

MUSEVENI NA UTUNZI WA VITABU

Museveni ni rais mahiri kwani huwa anaandika vitabu na hata makala magazetini. Karibuni kaandika kitabu na kimeshangaza kidogo kimtazamo. M useveni anaaminika kama kiongozi bora ila kuna haja ya mabadiliko kwa mujibu wa jaji maarufu. Pia tujiulize je Big Brother ni muhimu sana?Pia benki zimeanza kuhimiza ndoa unazijua?
Pia tunajuzwa zaidi ni vipi Iddi A min alivyowapendelea watu wa kabila lake.

Kumbe John Garang aliuawa na serikali ya Uganda? Kumbe pia uzazi bila mpango ni chanzo cha Ukimwi kuenea kwa kasi? Mwisho kabisa hii ni kali yaani kuna kesi kubwa ya aina yake nchini Uganda.Unamjua mtuhumiwa wa wizi wa f edha za Gl obal Fund?Na ugonjwa wa m araisi wa Afrika je?

No comments: