My Blog List

Wednesday, November 16, 2011

UGANDA PRESIDENTIAL MATERIAL


Kuna wakati Rais Yoweri Museveni aliwahi kusema kuwa huyu ndiye "Presidential Material". Sasa na yeye kanena kuwa anaweza akawa Rais wa Uganda.

Monday, November 14, 2011

UTAWALA WA MUSEVENI UMECHOKA SASA



Ni wazi baada ya kutawala kwa miongo kadhaa kwa sasa Uganda inahitaji kiongozi mpya, mwenye mawazo mapya na mtizamo mpya. Museveni kwa vyovyote vile kwa sasa si vyema akaendelea kuitawala nchi ni mzee. Kwa sasa utawala wake haupendezi kama enzi zake akionekana kama mtawala wa enzi mpya Africa.

KAGAME ANAVYOWAZA JUU YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NA NCHI YAKE


Rais Paul Kagame, ni kiongozi wa aina yake katika Bara la Afrika kwa sasa. Ni mtu ambaye hata nchi yetu Tanzania tunamhitaji sana kama kweli tunataka kuendesha nchi kisasa. Msome hapa uone anafanyaje kazi zake?

OPEN GOVERNMENT PARTNERSHIP

Je serikali ya Tanzania iko katika kundi la OPEN GOVERNMENT PARTNERSHIP? Nahttp://www.blogger.com/img/blank.gif je hii inamaanisha nini?

Thursday, October 20, 2011

GHADAFI NI MWISHO WA ZAMA - END OF AN ERA




Bila kujali alileta maendeleo gani nchini mwake, lakini ni dhahiri ukitawala kwa upanga utaishia kwa upanga. Ghadafi hatunaye tena.

Tuesday, October 04, 2011

MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI UGANDA ATIWA NDANI KWA UFISADI



HAPA JAMAA ANAPANDA GARI KWENDA SERO

Dr. Gilbert Bukenya alikuwa Makamu wa Rais asiye mwoga akijulikana kama "mahogany" ule mti mnene ambao unahimili vishindo, wiki hii katiwa ndani kwa ufisadi miezi michache baada ya Rais Museveni kumweka benchi.
Amenukuliwa akidai kkuwa haogopi kwenda jela.Ukiisoma hii utaona mtitiriko wa matukio ambayo yamemfikisha hapa alipo leo. Akiwa kama mtu mwenye nguvu nchini Uganda na Kigogo haswa, wengi wanajiuliza je ndio mwisho wake? hasa baada ya yeye kkuwahi kunukuliwa akisema kuwa serikali ya Uganda ilikuwa inatawaliwa na "MAFIA" fulani, hapa akimaanisha Museveni na watu wake. Tangu wakati huo kisiasa ameanza kuyumba hadi amefikia hatua ya kulala sero.

POLISI IGUNGA



HUYU MWANAMKE ALITUPWA KWENYE GARI KAMA MZIGO

Wednesday, September 28, 2011

RAIS MPYA ZAMBIA AKARIBISHWA IKULU




Rais mpya wa Zambia bw Sata amekaribishwa Ikulu na kukabidhiwa rasmi mjengo na Rais wa zamani Banda. Hawa jamaa wamepiga hatua sana kidemokrasia.
Serikali mpya tayari imeanza kazi kwa kudhibiti matumizi mabaya ya mali za umma. Kwa mfano, kumbe chama tawala MMD kilikuwa kinatumia magari ya jeshi kwa kampeni. Magari hayo yamekamatwa yote.

DIKTETA IDD AMIN ALIKUWA KIONGOZI BORA

Hivi una habari kuwa Iddi Amin, yule dicteta wa Uganda alikuwa kiongozi bora kuliko Museveni? Soma hii ucheke.

MAMBO YA THE HAGUE



Hawa ni mawaziri wawili wa Kenya. Mmoja ni mtuhumiwa wa mauaji wakati wa uchaguzi, UHURU KENYATA ambaye anashtakiwa huko The Hague ingawa mambo yanaonekana yana mwelekeo mzuri kwake. Anayembusu ni Beth Mugo, waziri wa Afya wa Kenya. Wote ni Wakikuyu, ukabila bila shaka ndio unaowaunganisha.

WANGARI MAATHAI KUPEWA MAZIKO YA KITAIFA



Naamini huyu ndiye mwanamke ambaye alikuwa makini kwa kile alichokiamini. Lakini kama kawaida yetu wanadamu, kifo kimemfika na sasa serikali imeamua itampa maziko ya kitaifa. Profesa Wangari, aliweka wosia kuwa akifa asizikwe na jeneza la mbao kwani ni kuharibu misitu.
Alikuwa ni mwanamke mwanaharakati haswa wala si hawa wanaharakati wa kijinsia ambao uswahiba wao na mafisadi ndio mtindo. Huyu alisimamia alichokiamini akiboresha mazingira na wanawake wa kawaida vijijini na sio hawa wanawake wasomi ambao kwao kutetea wenzao si jambo la msingi sana.
Kifo cha mama huyu kina maana nyingi sana mojawapo ikiwa ni hii hapa na pia alikuwa anajituma kwa alichokipambania. Hii ilimfanya awe tofauti na wengine na pia kwa kiasi kikubwa wengi waliomjua siku zile, wanadai alikuwa mbele yetu sana kiuelewa.

Friday, September 23, 2011

RAIS BANDA AKUBALI MATOKEO YA UCHAGUZIKISTAARABU



MANENO YA MWISHO YA RAIS BANDA AKIWAAGA WANANCHI BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI

Haya ni maneno ambayo naamini ni viongozi wachache sana tulionao leo hii ambao wataweza kuyasema na kukubali yaishe kwa amani. Hebu yasome alafu utaniambia.

I HAVE CALLED THIS PRESS CONFERENCE TO SAY A FEW WORDS. THE ELECTION CAMPAIGN OF 2011 IS OVER. THE PEOPLE OF ZAMBIA HAVE SPOKEN AND WE MUST ALL LISTEN. SOME WILL BE HAPPY WITH WHAT THEY HAVE HEARD, OTHERS WILL NOT.

THE TIME NOW IS FOR MATURITY, FOR COMPOSURE AND FOR COMPASSION. TO THE VICTORS, I SAY THIS: YOU HAVE THE RIGHT TO CELEBRATE BUT DO SO WITH A MAGNANIMOUS HEART. ENJOY THE HOUR BUT REMEMBER THAT A TERM OF GOVERNMENT IS FOR YEARS.

REMEMBER THAT THE NEXT ELECTION WILL JUDGE YOU ALSO.
TREAT THOSE WHO YOU HAVE VANQUISHED WITH THE RESPECT AND HUMILITY THAT YOU WOULD EXPECT IN YOUR OWN HOUR OF DEFEAT.

I KNOW THAT ALL ZAMBIANS WILL EXPECT SUCH BEHAVIOUR AND I HOPE IT WILL BE DELIVERED. SPEAKING FOR MYSELF AND MY PARTY, WE WILL ACCEPT THE RESULTS. WE ARE A DEMOCRATIC PARTY AND WE KNOW NO OTHER WAY.

IT IS NOT FOR US TO DENY THE ZAMBIAN PEOPLE. WE NEVER RIGGED, WE NEVER CHEATED, WE NEVER KNOWINGLY ABUSED STATE FUNDS. WE SIMPLY DID WHAT WE THOUGHT WAS BEST FOR ZAMBIA. I HOPE THE NEXT GOVERNMENT WILL ACT LIKEWISE IN YEARS TO COME.

ZAMBIA DESERVES A DECENT DEMOCRATIC PROCESS. INDEED, ZAMBIA MUST BUILD ON HER PAST VICTORIES. OUR INDEPENDENCE WAS HARD WON, OUR DEMOCRACY SECURED WITH BLOOD.

ZAMBIA MUST NOT GO BACKWARDS, WE MUST ALL FACE THE FUTURE AND GO FORWARD AS ONE NATION. NOT TO DO SO WOULD DISHONOUR OUR HISTORY.

TO MY PARTY, TO THE MMD CANDIDATES WHO DID NOT WIN, THE LESSON IS SIMPLE. NEXT TIME WE MUST TRY HARDER.
WE FOUGHT A GOOD CAMPAIGN. IT WAS DISCIPLINED. I STILL BELIEVE WE HAD A GOOD MESSAGE AND WE REACHED EVERY PART OF THE COUNTRY.

WE TRAVELLED TO ALL NINE PROVINCES AND WE SPOKE TO ALL ZAMBIANS. TO THOSE WHO WORKED EVERY HOUR OF THE DAY, I SAY ‘THANK YOU’. YOU HAVE DONE YOUR BEST. BUT, SADLY, SOMETIMES OUR BEST IS NOT GOOD ENOUGH.

DO NOT BE DISHEARTENED. THE MMD WILL BE BACK. WE MUST ALL FACE THE REALITY THAT SOMETIMES IT IS TIME FOR CHANGE. SINCE 1991, THE MMD HAS BEEN IN POWER. I BELIEVE WE HAVE DONE A GOOD JOB ON BEHALF OF ALL ZAMBIANS.

FREDERICK CHILUBA LED US TO A GENUINE MULTI-PARTY STATE AND INTRODUCED THE PRIVATE SECTOR TO OUR KEY INDUSTRIES. ZAMBIA WAS LIBERATED BY AN MMD IDEAL BUT MAYBE WE BECAME COMPLACENT WITH OUR IDEALS. MAYBE WE DID NOT LISTEN, MAYBE WE DID NOT HEAR.

DID WE BECOME GREY AND LACKING IN IDEAS? DID WE LOSE MOMENTUM? OUR DUTY NOW IS TO GO AWAY AND REFLECT ON ANY MISTAKES WE MAY HAVE MADE AND LEARN FROM THEM. IF WE DO NOT, WE DO NOT DESERVE TO CONTEST POWER AGAIN.

THE ZAMBIA WE KNOW TODAY WAS BUILT BY AN MMD GOVERNMENT. WE KNOW OUR PLACE IN HISTORY AND WE KNOW THAT WE CAN COME BACK TO LEAD AGAIN IN THE FUTURE. A NEW LEADERSHIP WILL BE CHOSEN, AND THAT LEADERSHIP WILL BE FROM THE YOUNGER GENERATION.

MY GENERATION… THE GENERATION OF THE INDEPENDENCE STRUGGLE– MUST NOW GIVE WAY TO NEW IDEAS; IDEAS FOR THE 21ST CENTURY. FROM THIS DEFEAT, A NEW, YOUNGER MMD WILL BE RE-BORN. IF I CAN SERVE THAT RE-BUILDING, THEN I WILL.

I MUST THANK MY CABINET FOR DELIVERING ON OUR PROMISES. WE DID A LOT OF GOOD FOR ZAMBIA. MANY OF OUR PROJECTS WILL BLOSSOM INTO BRIGHT FLOWERS. SOME OF YOU WILL BE BACK TO SERVE ZAMBIA AGAIN – I KNOW YOU WILL DO YOUR BEST FOR YOUR PARTY AND FOR YOUR COUNTRY.
TO THE CIVIL SERVANTS AND GOVERNMENT OFFICIALS, IT HAS BEEN A PRIVILEGE TO SERVE WITH YOU. WE HAVE WORKED MANY LONG HOURS TOGETHER. WE DID IT NOT FOR OURSELVES BUT FOR ZAMBIA. SERVE YOUR NEXT MASTERS AS YOU DID ME, AND ZAMBIA WILL BE IN GOOD HANDS.

I MUST THANK MY FAMILY AND MY WIFE. THEY HAVE STOOD BY ME AND I CANNOT ASK FOR MORE LOYALTY THAN THAT WHICH THEY HAVE DISPLAYED. I LOVE YOU ALL DEARLY AND I WILL ALWAYS BE IN YOUR DEBT.

BEING PRESIDENT IS HARD WORK, IT TAKES LONG HOURS OF WORK. AND BECAUSE OF IT, I HAVE NOT ALWAYS BEEN THERE FOR YOU. YET, STILL YOU WERE THERE FOR ME.

WORDS CANNOT EXPRESS THE DEPTH OF MY LOVE FOR YOU ALL. ALL I ASK IS THAT MY FAMILY CONTINUES TO SERVE ZAMBIA AS I HAVE SOUGHT TO DO.

BUT MY GREATEST THANKS MUST GO TO THE ZAMBIAN PEOPLE. WE MAY BE A SMALL COUNTRY ON THE MIDDLE OF AFRICA BUT WE ARE A GREAT NATION. SERVING YOU HAS BEEN A PLEASURE AND AN HONOUR. I WISH I COULD HAVE DONE MORE, I WISH I HAD MORE TIME TO GIVE.

OUR POTENTIAL IS GREAT. OUR RESOURCES ARE IMPRESSIVE.
I URGE YOU ALL NOW TO RALLY BEHIND YOUR NEW PRESIDENT.
YES, WE MAY HAVE DIFFERENT IDEAS BUT WE BOTH WANT THE SAME THING – A BETTER ZAMBIA.

NOW IS NOT THE TIME FOR VIOLENCE AND RETRIBUTION.
NOW IS THE TIME TO UNITE AND BUILD TOMORROW’S ZAMBIA TOGETHER. ONLY BY WORKING TOGETHER CAN WE ACHIEVE A MORE PROSPEROUS ZAMBIA.

IN MY YEARS OF RETIREMENT, I HOPE TO WATCH ZAMBIA GROW. I GENUINELY WANT ZAMBIA TO FLOURISH. WE SHOULD ALL WANT ZAMBIA TO FLOURISH. SO, I CONGRATULATE MICHAEL SATA ON HIS VICTORY.

I HAVE NO ILL FEELING IN MY HEART, THERE IS NO MALICE IN MY WORDS. I WISH HIM WELL IN HIS YEARS AS PRESIDENT.
I PRAY HIS POLICIES WILL BEAR FRUIT.

BUT NOW IT IS TIME FOR ME TO STEP ASIDE. NOW IS THE TIME FOR A NEW LEADER. MY TIME IS DONE. IT IS TIME FOR ME TO SAY ‘GOOD BYE’.

MAY GOD WATCH OVER THE ZAMBIAN PEOPLE AND MAY HE BLESS OUR BEAUTIFUL NATION.

I THANK YOU.

KUMBE TANZANIA INAITAMBUA SERIKALI MPYA LIBYA?



Hapo Juu: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akitambulisha na kusalimiana na mwenyekiti wa NTC, serikali mpya ya Libya. Sasa najiuliza, ile kadhia ya kumwita balozi wa Libya eti kapandisha bendera kumbe ilikuwa danganya toto tu.

HUYU ANAOMBA KURA NA BASTOLA KIUNONI


Sitaki kuweka maelezo sana ila Ismail Aden Rage ni Mbunge wa Tabora Mjini. Hapa anaomba kura katika kampeni huko Igunga. Unaionaje hiyo? Kwa mtindo huu, ushindi lazima tu, sijui sheria za uchaguzi zinasemaje juu ya hili.

Thursday, September 22, 2011

UCHAGUZI ZAMBIA NA VIMBWANGA VYA UCHAKACHUAJI

Uchaguzi umemalizika Zambia, lakini kama kawaida, Afrika, hakuna uchaguzi msafi. Kuna kila dalili za uchakachuaji na amani tayari umeanza kuleta dalili za kuvurugika kwa amani. Bofya hapa, upate habari kamili.
Hivi si inawezekana Afrika tunahitaji democrasia ya kiafrika na si hii ya vyama vingi kupiga kura. Naona watawala wanapenda chama kimoja. Wadau mnaonaje?

PIKIPIKI (BODABODA) INANITISHA KUIENDESHA


HAPA NAJIVINJARI SIJUI NIACHE USAFIRI HUU?
Kwa mtanzania wa kawaida kama mie, usafiri ninaomudu ni bodaboda. Mie naendesha ya kwangu lakini hali ya usalama huko barabarani ni mbaya sana. Kwa miezi nane tu iliyopita tayari wamekufa watu 53 kwa ajali za pikipiki.
Najiuliza sijui niache kuendesha au vipi manake ukiacha hivyo vifo, majeruhi ndio usiseme. Angalia taarifa hii ya polisi Tanzania uniambie nifanyeje, hivi kwani nini hasa chanzo cha ajali hizi nyingi hivi? Binafsi huu ni mwaka wa nne naendesha pikipiki, nimepata ajali mara moja tu, na siku hiyo ilinibidi niache kuendesha kwa wiki hivi manake nilipatwa na kiwewe, Mungu alisaidia sikuumia ingawa nilichubuka magotini tu na mtambo haukudhurika. Mwendesha baskeli mmoja mlevi aliingia barabarani nikiwa kwenye spidi, katika kujaribu kumkwepa ndipo nikamgonga na nikaruka mtaroni. Ni Mungu alisaidia tu.
Kwa takwimu hizi za polisi, nimebaki sina majibu kwa usalama wangu, nifanyeje jamani?

Tuesday, September 20, 2011

UGANDA - WEAKLEAKS HAIKANUSHWI ILA YANAFAFANULIWA




Uganda ni nchi ambayo imekuwa chini ya utawala wa Rais Museveni kwa miongo kadhaa sasa. Rais huyo inasemekana sasa ameanza kuwa dikteta na anamuandaa mwanae kumrithi kama ilivyo kawaida kwa viongozi wa kiafrika. Ndani ya chama chake wako watu ambao wamethubutu kuweka wazi juu ya kupinga baadhi ya mambo ambayo anayafanya.
Yuko bwana mmoja, Kapteni Mike Mukula, ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa NRM kutoka ukanda wa Mashariki na aliyewahi kuwa waziri wa Afya, amenukuliwa na Wiki Leakes akisema kuwa hakubaliani na mambo ya Museveni na alipohojiwa hakupinga mambo ambayo aliongea na Balozi wa Marekani. Huyu bwana jasiri kwelikweli, tungekuwa na viongozi wa aina hii wanamzunguka Rais wa Tanzania, mbona ingekuwa raha!

Thursday, September 15, 2011

GAIDI LA UGANDA



Kijana wa Kiafrika ni kwanini anaamua kuwa "gaidi" na kuamua kuteketeza maisha ya wenzake? Soma hii uone huko Uganda mfuasi wa magaidi wa somalia.

Tuesday, September 13, 2011

TUMEANZA NA MELI BADO NDEGE

Ajali haina Kinga - Wahenga walisema. Sijui wenzangu mtasemaje ila hizi ajali mbili zilizotokea moja, Zanzibar ambapo meli imezama na ya pile kule Kenya ambapo bomba la mafuta limepasuka na likaua wakazi wengi masikini ambao waliamua kujenga nyumba juu ya bomba la mafuta linadhihirisha kuwa "Ajali ina kinga bwana".
Hebu ona hili: Meli ina uwezo wa kubeba abiria idadi fulani; lakini kwa tamaa na utamaduni wa kuvunja sheria abiria wanashindiliwa kwenye meli mpaka inaelemewa na kuzama. Kama Sheria ya Sumatra juu ya udhibiti wa usalama vyombo vya majini ingesimamiwa, je ajali ingetokea? Tujiulize.
Jambo lingine, jana wakati wa hitma ya kkuwakumbuka marehemu hawa wa meli, Rais JK alieleza jinsi uokozi ulivyofanyika nikashangaa sana. Eti meli imezama saa 7 usiku, yeye kapewa taarifa saa 9. Alafu vyombo vya uokozi vya jeshi na polisi vilishindwa kuiona meli ilipo hadi saa 11 alfajiri, karibu masaa 5, pale helkopta ilivyofanikiwa. Hivi kweli ni sahihi kutumia helkopta moja kutafuta meli? Kwanini hazikutumika helkopta nyingi?
Inashangaza sana, wakati wa Kampeni za Siasa, Raisi anatumia takriban helkopta nne zilizokodiwa kwa mahela lukuki; lakini inaonekana jeshi halina helkopta au hakuna utaratibu wa helkopta sijui nini.
Naamini haswa, kuwa ajali hii ya meli ingeepukika ama pasingetokea kifo hata kimoja.
Maadam watanzania tumekubali kuishi kwa kutozingatia usalama wa maisha yetu; basi sitashangaa hata tukaanza kushuhudia ajali za ndege, kwani sasa hivi, usafiri wa ndege umekuwa sana, na ninaamini kwa tabia yetu ya kutojali usalama, sitashangaa ajali za ndege zikianza.

Monday, August 22, 2011

GHADAFI KWISHA HABARI YAKE


" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHsyhsb9wLzMU70Nstn4iVuI_BBrZEFBj2VjFA-SFJrAbXDgcjTRzNfgg3BDt30ImbwBWEjVWUaaM-pTzFfAMW9i1dBSP2b6K61T6eodJO4OaRxRPjxE5hK72Zn9ybQDvX2DyNyQ/s400/libya_sl_y_0822.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5643638147744999778" /> Hiyo ni Kauli ya Barack Obama.



Wengi wataona kuwa hii ni kuingiliwa kwa mambo ya ndani ya Afrika, ni ubeberu mambo leo, na ni ukoloni. Lakini, binafsi naamini si mara zote ukoloni una hasara tu. Ninaamini viongozi kama Ghadafi hawana tija sana kwa jamii kubwa; zaidi wanatumikia "uswahiba". Naamini hata maendeleo yote ya Libya hayajawafaidisha walibya kwa wingi wao,ukiacha marafiki na ndugu wa dikteta huyu.
Pamoja na madhara yote yatakayojitokeza baada ya utawawala wa Ghadafi kuondoshwa, naamini ni bora kuliko kubakiwa na kiongozi wa aina yake katika dunia ya kileo.
Usiku wa leo waasi wameingia Tripoli.

Thursday, August 18, 2011

ADHA ZA KUWA MWANASIASA UNAYEHOJI AFRIKA



Ili uwe mwanasiasa, hasa wa upande wa upinzani, basi ujiandae kwa mambo kama haya ya kuaibishwa na dola. Hiyo picha inahusu habari hii hapa.http://www.blogger.com/img/blank.gif

TANZANIA INATIA RAHA BWANA - HASA HILI LA MAFUTA NA JAIRO!

Serikali inaweza kutishwa na wafanyabiashara, na kuonesha nguvu ya wafanyabiashara Taifa zima laweza kukumbwa na tatizo la nishati ya mafuta na mambo yatakwenda murua na burudani kabisa. Hii ndio nchi inaitwa Tanzania, kisiwa cha amani, nchi ya wapendanao, watu tusiopenda madhila katika maisha yetu. Ndio nchi pekee ambayo watuhttp://www.blogger.com/img/blank.gif whttp://www.blogger.com/img/blank.gifake wanajua 'kujiadjust na hali yoyote inayojitokeza'. Soma hii stori juu ya mafuta, utafurahi mwenyewe. Ukiacha la mafuta, Tanzania ni nchi nadhani kati ya chache ambazo kuna mahusiano mazuri sana kati ya wanasiasa na wataalam. Kwa mfano, ili wataalam mambo yao yaende vyema, basi kule bungeni, wabunge wanakatiwa chao kidogo tu, alafu wanapitisha. Kama unajua systemic corruption, soma hili ucheke alafu utajisikia faraja kuzaliwa katika Taifa la Amani.

MKATABA WA EAC - UJADILIWE UPYA

Katika kuwezesha jumuiya ya Afrika Mashariki iweze kuendana na mabadiliko ya Katiba Mpya ya Kenya na hata ile mpya inayotarajiwa Tanzania, kama itatokea kweli, imeelezwa kuwa Mkataba wa sasa wa EAC haufai. Soma habari hii.http://www.http://www.blogger.com/img/blank.gifblogger.com/img/blank.gif
HALI YA UCHUMI TANZANIA NI NGUMU: JE NINI ATHARI ZAKE NA TUFANYEJE?
Pia ikiwa kwa sasa hivi ambavyo maisha ya Tanzania yamekuwa juu sana, zingatia hali ya bei ya mafuta inavyosababisha kila kitu kupanda bei. Hivi umeshajiuliza ni kwanini bei zinakwenda juu? Tunaambiwa eti ni shilingi ya Tanzania imeshuka na pia eti soko la dunia mambo ndiyo yanayoongoza soko letu la ndani. Je, unajua kupanda huuku kwa bei kunamfaidisha nani? Anayefaidi ni huyu hapa, bonyeza hapa. si tu kwa wanaofaidi, lakini pia ningependa msomaji wangu, utambue kuwa kutokana na hali ngumu ya maisha, ni vyema kujua jinsi ya kuishi katika ugumu wa maisha.

ASALAAM ALAIKUM



Ni mwezi mtukufu wa Ramadhani, na baada ya kimya kingi naamua kurejea ili wasomaji wangu tuendelee kushirikiana. Watu tumezoea tu kushuhudia mashindano ya urembo kwa kufuata mitindo ya kimagharibi. Leo nawaletea mashindano kwa mahadhi ya kiarabuni, mambo ya kiislamu.

Thursday, May 19, 2011

MATAJIRI, WAKUBWA NA KASHFA ZA NGONO



Kwa mfuatiliaji wa mambo yanayotokea duniani, mwezi wa May 2011 umenigusa kwa Kuvunjika kwa ndoa ya Arnold Schwarzeneger, aliyekuwa gavana wa California ambaye amemaliza kipindi chake majuzi. Pia haswa kumenigusa zaidi baada ya huyu jamaa mkubwa wa Benki ya Dunia, Dominick Straus Khan kukamatwa nchini Marekani baada ya kujaribu kufanya ubakaji.
Hawa wote wawili yaliyowatokea ni kwa sababu wameendekeza sana ngono; Arnold yeye hatimaye imegundulika kuwa alikuwa amezaa na mfanyakazi wake kama gavana na kwa miaka kumi (10) alikuwa amemficha mkewe. Naye Straus Khan yeye ni mtu ambaye na kashfa za ngono ni marafiki. Kule Ufaransa wanamwita "hot rabbit" yaani sungura wa moto kwa mabibi, akimpania mtu lazima ampate. Ni kwa hali hiyo ya historia yake lililomtokea na kumsababishia aibu na kupoteza cheo chake cha Ukurugenzi wa IMF ni uzumbukuku wa vigogo na matajiri mbele ya vimwana. Ukisoma historia hii utaona ni jinsi gani hawa mabwana wamedhalilika. Lakini pia kwa marafiki zangu wengi nimewasikia wakibishana sana eti yule mwanadada alitegeshwa na CIA. Jamani, nasema, tuache hisia potofu, binafsi ninaelewa wazungu hawana simile kwenye makosa ya kuingilia maisha ya hasa mwanamke.

Thursday, May 12, 2011

YOWERI MUSEVENI AAPISHWA LEO KWA MUHULA WA TANO KAMA RAISI UGANDA




ONA HOTUBA YAKE BAADA YA KUAPA
Speech by H.E. Yoweri Kaguta Museveni
President-Elect of the Republic of Uganda
At the SWEARING-IN CEREMONY
At Kololo, Kampala
Kololo-12th May 2011

Your Excellencies Heads of State and Government who have come to be with us today;

Your Excellency the Vice President of the Republic of Uganda;

Rt. Hon. Speaker of Parliament of the Republic of Uganda;

Your Lordship, The Hon. The Chief Justice of the Republic of Uganda;

Rt. Hon. Speaker of the East African Legislative Assembly;

Your Excellencies Heads of Delegations;

Rt. Hon. Deputy Speaker of Parliament of the Republic of Uganda;

Your Ladyship, the Deputy Chief Justice of the Republic of Uganda;

Rt. Hon. Prime Minister of the Republic of Uganda;

Your Royal Highnesses, the Traditional Leaders;

The Religious Leaders;

Hon. Ministers;

Your Excellencies High Commissioners and Ambassadors;

Hon. Members of Parliament;

The NRM fraternity in the whole Country;

Ladies and Gentlemen.

First of all, I congratulate all the Ugandans for the peaceful elections held on the 18th of February, 2011 and other elections held since that date.

Secondly, I thank the Ugandans for overwhelmingly voting for me with 68.3%, the NRM Members of Parliament with 73%, District Leaders (LCV) with 79% Sub-County leaders (LCIII) with 71%. I also congratulate the opposition parties on the seats they got in Parliament, the District Council seats they got and the Sub-County positions they won.

The landslide win by the NRM should inform all and sundry that the people of Uganda are, politically, mature people. They are able to disregard lies put out by opportunists and stand on the truth.

In the last 45 years, the NRM position is well known. We reject reactionary ideology and stand for progressive ideas. We reject sectarianism as well as parochialism and stand for nationalism. We reject puppetry and stand for the genuine independence of Uganda and other African countries. We reject stagnation of the Ugandan society and stand for its rapid transformation into a modern society.

In spite of the initial scarce resources, we have made huge advances in the last 25 years. We now have 8 million children in the primary schools, 1.5 million children in the secondary schools, 120,000 students in the universities and 53,729 in tertiary institutions. In 1986, the comparable figures were: 2.5 million children in the primary schools, 190,000 children in the secondary schools, 5,000 students in the university and 27,205 in tertiary institutions. We only had one university. We now have 28 universities (both public and private). In a period of almost 90 years, between 1894 when the British colonized Uganda and 1986 when the NRM took over Government, we had only 28,000 telephone lines. We now have over 14 million telephone lines. I can continue to bring out the NRM achievements in every sector. However, these examples suffice to highlight this point.

The NRM stands for Pan-Africanism, which translates into economic and political integration. We are very happy with the market of 130 million people of the East African Community. We are happy with the COMESA market of over 400 million people. We are also working for the political integration of East Africa together with our partners of Kenya, Tanzania, Rwanda and Burundi.

The massive victory by the NRM in the February 2011 elections, therefore, was a triumph of progress and even revolutionary ideology over reactionary ideology. It was a triumph of Uganda’s patriotism over sectarianism and opportunism. We won overwhelming victory in all the regions of Uganda. Since creation, this is the first time Ugandans have coalesced into such a consensus. I would, therefore, call upon those who have been pushing sectarian ideas and pushing opportunism to join the national consensus instead of being desperate and embarking on disruptive schemes. Those disruptive schemes will be defeated just like the previous opportunistic schemes have been defeated.

Uganda is now on the verge of take-off to become a middle income country by 2016. In order for Uganda to accelerate her speed to a middle income status, we need to resolve one issue. Just as you cannot build a house without a foundation (musingyi, oruhazo), you cannot build a modern economy without modern infrastructure. By this, we mean: electricity, roads, the railway, piped water, telephones, ICT network, media, as well as social infrastructure in the form of schools, colleges, health units, etc. The importance of these elements of infrastructure is two fold. Social infrastructure produces healthy, educated and skilled human resource. The economic infrastructure, on the other hand, is very useful for the economy because it lowers the costs of doing business in the economy and, therefore, enterprises become more profitable. This, in turn, attracts more enterprises to Uganda which create more jobs, widens the tax base, etc.
The area of telephone infrastructure has been catered for by the private sector as already indicated above. In the area of piped water, at least, all the major towns are properly served now. We need to expand piped water to the trading centres and the villages. Using a Chinese loan, we have built the fibre optic cable for ICT network. The private sector and, to some extent the Government, are handling well the issue of media infrastructure. The Government has long handled the issue of the education infrastructure. We now have 148,720 classrooms, built with permanent materials, compared to 21,959 classrooms in 1986. Similarly, the Government has been handling the issue of health infrastructure. There are now, for instance, 166 Health Centre IVs compared to1986 when there was nothing.

It is, therefore, the main cost pushers in the economy that need to be addressed. These are electricity, roads and the railways. These have been badly addressed, not only here in Uganda, but also in other African countries. There is a useful measurement I have been using to highlight the big mistake Africa has been finding itself in. This is kilo watt hour (kWh) per capita. Countries like the USA have got a kWh per capita of 12,500. Uganda, on the other hand, has got a kWh per capita of only 70. In 1986, it was 21 kWh per capita. Many African countries have, similarly, very low kWh per capita, even those that have been peaceful all the time since independence. I blame the technocratic staff for this mistake. I also blame the 6th Parliament for part of this mistake. Since I discovered this mistake, I have pushed for fast movement on this issue. By next year, when Bujagali and other mini-hydro stations are finished, Uganda’s kWh per capita will be 100. By 2016, when Karuma, Ayago and Isimba are ready, our kWh per capita will be 500. To be sure that we do not waste any more time, we are going to use our own money for much of this work. If private capital is available on terms that will ensure low tariffs for consumers and there will be no delays in the execution of projects, then, we shall welcome it.

You can see what a big struggle we have to make up for lost time. Using largely our own money, we shall also work on the roads, on the railway, on A’ level free education, university student loans as well as on scientific innovations and research as per our manifesto.

To achieve these goals we need discipline and the rule of law.

Regarding the current short term problems of increased fuel prices and increased food prices, we are looking at the option of buying in fuel bulk and also the option of approaching the Government of Southern Sudan. I am told that buying in bulk lowers prices. I am also told that fuel in Juba is cheaper. In fact, some of our people from West Nile are already using that fuel, especially diesel. I intend to approach the Government of Southern Sudan to see the possibilities. In the next 3 years, we shall be using our own fuel after the building of the Refinery is finished. We are also analyzing the price of fuel up to Eldoret. Is it all justified?

On the issue of food, predictions are showing that this is a temporary problem. We are likely to have a bumper harvest. The prices will normalize. In the short run we are going to encourage micro-irrigation based on individual farms. The Ministry of Finance will encourage the importation of the necessary equipment for micro-irrigation – sprinklers, hoses, etc., or making them here, locally. Farmers can, however, use very simple methods, such as the plastic water bottles. You fill a bottle with water, make a small hole in the bottle and put it next to the plant. The plant will grow very well. We also need to emphasize the use of fertilizers. All these harvests we achieve, we attain without the use of fertilizers – 10 million metric tones of bananas, 4 million bags of coffee, etc. With fertilizers, we are going to produce much more. I am, however, told that fertilizers should be used carefully because they can also spoil the soils. The increased demand for food in the world and the region is good for the farmers of Uganda and for the economy of our country. We, however, need to work out mechanism of stabilizing food prices for the urban-dwellers and salary-earners in towns. All this should be done without interfering with the foundation projects I have talked about above – electricity, roads, the railway, education and health.

Our research scientists are struggling with solutions for the banana and coffee wilt. I demand that the scientists put out a programme of action through the Ministry of Agriculture. On the issue of mega-irrigations in Karamoja, the Mount Elgon area, the Rwenzori area, the plan is that the programmes will be handled in the 3rd or 4th year of this Government. Our emphasis, for the first two years, will be on electricity, roads, the railway, scientific research and innovation, A’ level education for free and the student loans for universities. The Minister of Finance is also working on the question of the issue of silos for storage. In all these projects, we are going to use our own money. If we can secure a soft loan from the funding Agencies, we would start on the mega-irrigation schemes soon.

On the health, we are continuing to crack down on the theft of drugs from health centres by health workers. In the medium term, we shall look at the question of salaries for doctors and health workers. Again, without interfering with the foundation activities, we will be happy to raise the salaries of health workers and other scientists.

I thank all the Ugandans who supported us in the last elections. Continue to support the NRM. My Government will, however, serve all Ugandans as always including those who did not support us.

I thank you very much.

Kololo -12th May 2011

Hotuba inasomeka kwelikweli. Haya yote amefanya lakini bado kuna vijana na watu kibao mitaani wanatembea eti maisha magumu. Sasa hivi demokrasia ya Afrika ina shida gani? Au ametudanganya? Au haelewi mahitaji ya wananchi wa kawaida?
Wajameni, Mnamsomaje huyu mzee Museveni?

YOWERI MUSEVENI NA UTAWALA WA MIAKA 25

25 years after Museveni rule
As President Museveni swears in today, admirers and critics alike will be looking to answer how the next five years will impact on his legacy.

Twenty five years in power, political observers believe it is too early to write Mr Museveni’s political epitaph. However, what is clear is that Mr Museveni has made, unmade, remade and again unmade whatever political historians will write of his contribution to the politics of the country.

For a man who as early as 1973 made powerful speeches on the vexed questions of unity, freedoms, security and approaches to not just economic transformation but empowerment of individuals, many contradictions now appear in his character.
The army
Dr Frederick Golooba Mutebi of the Makerere University Institute for Social Research says politically, were Museveni to leave after this term, he would leave a country more divided than he found it in 1986.
“The North-South divide is still alive and well. And then there is the West versus the rest dimension. Having said that, politically, the country has changed a great deal for the better. I cannot imagine another Idi Amin or Milton Obote coming up,” he says.

Politics
Mwambutsya Ndebesa a political historian also at Makerere, says whether Museveni were to leave power now or after five years, any discussion of his legacy will not be complete without examining the critical role he has played in “militarising the political space.”

While his predecessors, Dr Milton Obote failed to manage the military, Idi Amin was a soldier and therefore ruled by decree and knew nothing about politics, Museveni who came promising to send the army back to the barracks and make it subservient to civilian authority has instead succeeded beyond the imagination of his predecessors, in “militarising the political space.”

Prof. Ndebesa says this has helped build the most negative political competition under Museveni as the military clearly sides with the incumbent with the police walking in lock-step.

Dr Golooba-Mutebi says, “despite the broad agreement that the army has been more tame in the last 25 years than it has ever been since the 1960s, it is also true that a fairly large number of Ugandans look at it with a fair degree of mistrust, contempt, and fear.

“I am now convinced that if there broke out a war on the scale of the NRA’s insurgency, the UPDF would commit atrocities in the same way that the UNLA did.”
The biggest test to the military has come especially as Mr Museveni counts more years in power, and the aura of invincibility disappears with former admirers jumping ship.

Peaceful political demonstrations have become almost outlawed as the military and the police marshal all the armour they can to confront unarmed but determined demonstrators.

The police and military are forced to act more harshly. The columns especially of the military sent to keep peace in the night, communicate less and less with those they meet.

Ndebesa says, “Obote failed to manage his military, Museveni has managed but in the long run they might merge.” Mr Museveni’s legacy on the economy also seems to have turned on its head. A significant portion of the population remains stuck in the abyss of poverty.

The Uganda Bureau of Statistics says at least seven million have remained stuck in a vicious cycle of poverty from which they are unlikely to break anytime soon.
A smaller portion of Ugandans are swimming in obscene wealth – some of them beneficiaries to the corruption which characterised the cannibalisation of state parastatals when the NRM launched into an erratic privatisation of the economy.

Persisting poverty
The number of grass thatched houses in the countryside might have reduced but abject poverty remains. Mr Ndebesa says Mr Museveni will leave a legacy of an economy that has registered growth without achieving development.

Dr Golooba-Mutebi says: “The economy is much larger, the country more prosperous than 25 years ago. We would have done much better if there was more order, probity and accountability than there is. It is also fair to ask what happened to Museveni’s aspirations of getting Uganda to manufacture its own safety pins.
Instead, we manufacture bullets. The potential is very high. Shame about the quality of government.”

Hii makala nimeona ikae hapa. Shukrani kwa gazeti la Monitor la Uganda la jana 12/5/2011. Baadhi ya watu wametoa maoni yao hapo chini:
1."No African head of state should be in power for more than 10 years!" Don't forget, this is a qotation of a certain Mr. Museveni, made 1986, the biggest liar in Uganda.
2. One of the worst offences Museveni has committed against Uganda, is “militarising the political space” as academic Ndebesa has rightly pointed out. Democracy will never take root in Uganda until the rulers derive thier authority from the people/public rather than from the military..This is why I have some doubt whether Besigye is able to deliver the change we need given the fact that he too has similar background as Museveni. Among the major parties, probaly it is only DP which has never had any connection with the military.
3. Honestly I find no difference between these dictatorships. In fact the current one eroded all the good they ever did; public services,national pride etc... Not many from Uganda want to carry that identity anymore. Of course Uganda now more looks up to other nations than. Now we saw the oil wells, yea! there we see the mad man. No change,Kampala is where it has always been. What you call growth is just a difference in times;more computers and cars on the face of the earth - we can all get.

WAKUBWA WANAVYOUTIZAMA ULAJI RUSHWA

Ni siku kibao nimepotea sijaweza kuanika mambo hapa kwenye dira. Kwa kweli mambo ya maisha yamenibana sana. Ok, kwanza nimefurahi sana Osama bin Laden kuuawa. Nategemea kuweka makala siku zijazo. Leo nimekunwa na hisia za jaji mmoja huko Kenya ambaye anajaribu bahati yake kuwania nafasi ya kuwa jaji mkuu wa Kenya.
Katiba mpya ya Kenya imeweka mambo wazi sasa, unapogombea nafasi kubwa kama hiyo, mambo yote ya interview yanakuwa wazi. Hebu soma makala hii uone mama anavyojikakamua.

Thursday, March 24, 2011

BABU WA LOLIONDO NA TIBA FEKI

Kwa takriban mwezi mmoja sasa mchungaji mstaafu Babu Mwaisapile amefanya eneo la Loliondo lijulikane sana kwa kipindi kifupi hasa baada ya kuja na madai kuwa anatibu magonjwa ambayo kwa muda sasa yamedhihirisha hayatibiki kwa njia za kitabibu za kawaida za kisayansi. Babu wa Loliondo ametujia na madai kuwa ameoteshwa ndoto na Mungu na kupewa uwezo wa kutibu maradhi ya kisukari, shinikizo la damu, saratani na ukimwi.

Binafsi sikubaliani kabisa na madai ya babu huyu licha ya yeye kupendwa na watu wengi. Mafuriko ya wananchi kutoka kila upande wa nchi yetu na hata mataifa kadhaa ya jirani yamenishangaza sana na kwa undani nimetafakari sana juu ya hili na nikadhani ni hatari kwa mustakabali wa nchi yetu. Tumefika hatua sasa mambo yanaendeshwa kwa kubahatisha bila kujali tuko katika dunia ambayo kila jambo tunalofanya ni vyema liendeshwe kwa kuzingatia mashiko ya kimantiki ambayo yanaendana na ustaarabu wa dunia ya karne tuliyonayo ya kufikiri kwa kina katika kila jambo.

Mashiko haya ya kimantiki yanachagizwa kwa kina na kufanya mambo kwa kujiuliza kabla ya kutenda kwa kuzingatia madhara au faida ya kila jambo tunalofanya. Hii si dunia ya kutegemea mambo kutokea kwa miujiza ama unabii wa enzi za agano la kale au kipindi cha mwanzo cha kazi za Yesu Kristu.Hiki ni kipindi ambacho mwanadamu tayari amepiga hatua kubwa sana kisayansi na ana uwezo mkubwa wa kutumia akili (critical thinking) katika kupima uwezekano ama kutokuwezekana kutokea kwa jambo. Siamini kabisa katika dunia ya kileo bado ni sahihi kukubali kudanganywa kuwa Mungu atamtumia Mzee huyu huko Loliondo atupe dawa ya mitishamba tupone magonjwa kama Ukimwi.

Si kwamba siamini kuwa Mungu hafanyi kazi yake katika Dunia ya leo, la hasha. Ila maadam tunasema kuwa dawa ya mzee huyu inatibu kupitia kuoteshwa na Mungu; swali langu ni kuwa: Je tunatumia kigezo gani au tuna hakika gani kuwa hiyo ndoto ya Mzee Mwasapile ilikuwa ni ya kweli kutoka kwa Mungu au inatokana na nguvu za Kishetani? Ikiwa ndoto hiyo ilimtokea yeye tu bila ushuhuda mwingine, nani anaweza kuthibitisha kweli kuwa ndoto hiyo ilikuwa ya Mungu au Shetani? Mimi ninaamini kuwa kama tutakubaliana na Mzee Mwasapile basi tunajenga “Precedent” mbaya kwa mustakabali wa jamii nzima ya watanzania na hata kizazi kijacho. Kutokana na changamoto nyingi za maisha ya sasa, ni wazi kabisa kuwa tutegemee kutokewa na watanzania wengi tu kwa kisingizio cha “kuoteshwa” na watatudai chochote tuwape au tuwachague kwenye nafasi kadhaa za kiuongozi na wananchi watawasikiliza kwa kisingizio cha agizo la Mungu. Ni hatari sana kwa jamii.

Jambo lingine ni kuwa kama tukikubali kirahisi hivi na serikali ikawa rahisi kutoa ushirikiano kwa kufuata maelekezo ya Babu kumwekea ulinzi na huduma zingine huku viongozi wenye ushawishi kwenye jamii kama maaskofu, mawaziri na wasomi kadhaa wakienda kupata kikombe, ni wazi inatia wasiwasi sana kama kweli hivi serikali yetu inajua kuwa kuna tofauti kati ya “theocracy na democracy”?

Napenda nisema tu kuwa sipingi tiba mbadala kabisa; ila naamini nchi yetu inao utaratibu wa tiba mbadala ambao kwa huduma kama hizi za Babu Mwaisapile, ni lazima zingefuatwa tu. Hizi ni huduma za dawa za mitishamba lakini zinakwenda mbali zaidi kwa kumhusisha Mwenyezi Mungu. Kwa ujumla hii ni huduma ya matibabu ya kiroho ambayo naamini kiutaratibu inaangukia katika fungu moja sawa na huduma za kiroho za watu kama Kakobe, Mwakasege na Mzee wa Upako. Sijawahi kuwaona hawa niliowataja wanapotoa huduma zao wanaiamrisha au kuisukuma serikali watakavyo. Hapa sisemi kuwa Babu Mwaisapile ameisukuma serikali, lakini kwa kuamua kusisitiza kuwa dawa yake ni lazima itolewe tu kijijini Samunge, kimantiki ameikamata serikali na kuiendesha. Nimeshuhudia wananchi wagonjwa wakilalamika serikali ifanye hili na lile ili waweze kupata huduma bora za Babu utadhani ni wajibu wa serikali kusimamia taratibu za tiba ya Babu.

Naamini Babu alipaswa kuandaa mazingira ya kazi yake na ikibidi abuni njia bora za kuwafikia walengwa wake katika sehemu mbalimbali za Tanzania. Hili halikuwezekana kwani Mungu aliagiza ndotoni kuwa tiba ni pale kijijini tu. Je serikali hapa ina uhakika gani kuwa tiba ni palepale? Na je utaratibu wa tiba mbadala wa mitishamba au ule wa kiroho si unao utaratibu wa kisheria ambao ungepaswa kufuatwa? Ni nini kiliizuia serikali kushindwa kuhakikisha huyu Babu anafuata utaratibu? Kwani naamini huyu Babu hajasajiliwa kisheria. Ni wazi licha ya Babu pia serikali ilishindwa kuhimili shinikizo (pressure) ya wananchi ambao walikuwa ni wengi kila kukicha. Kushindwa huku ilikuwa ni kuonesha kuwa hakuna mtu ndani ya serikali ambaye alikuwa yuko tayari kuthubutu hata kusema kuwa dawa ile bado haijathibitishwa kisayansi na kwa mujibu wa taratibu za kiafya. Sielewi mara tutakapoanza kuona watu hawaponi matatizo yao, je serikali itasema nini? Je itamchukulia Babu Mwaisapile hatua?

Kwa yaliyokwishatokea Loliondo, serikali yetu imedhihirisha udhaifu sana. Ninaiona hatari kuwa sasa tumefika hali ya hatari ambapo maadam wananchi wengi wanataka jambo fulani kwa wingi wao litekelezwe watakavyo hata kama ni kinyume na utaratibu, serikali yetu inakosa nguvu za kuweka mwongozo wa utaratibu unaojali sheria uzingatiwe. Si sahihi kabisa kwa viongozi na watendaji wa serikali kutoa matamko ambayo hayana mashiko katika jambo la msingi. Ninaamini hili jambo lilikuwa ni la kiroho na kiimani, lakini kwa kuzingatia kuwa serikali yetu ni “secular state”, inaweza kutoa mwongozo kwenye jambo lolote linalowahusu wananchi wake bila kujali ni la kiserikali, kidini au kichawi. Wazungu wana msemo: “Where the bucks stop”, serikali ndio mwisho wa yote. Hapa Loliondo serikali ilinywea kwa dawa ya mchungaji hadi hata kuruhusu wagonjwa kutolewa mahospitalini. Hili lingetokea tu kama serikali ilikuwa na uhakika kuwa dawa ya Babu Mwaisapile inatibu; na ingetoa ushauri wagonjwa mahututi wahamishwe. Maadam kulikuwa hakuna uthibitisho wa dhati wa kutibu kutokana na dawa hiyo, basi serikali isingelizuia wagonjwa kutoka hospitali bali ingetangazia umma kuwa dawa hiyo haijathibitishwa kuwa inatibu na hivyo wagonjwa wako huru kuamua kuifuata ama kubakia hospitalini. Lakini serikali haikuwa na tamko la wazi kabisa kuwafahamisha wananchi wake kuwa dawa inatibu au la.

Binafsi ninaamini Mungu yuko; dhana yangu ya Mungu inatokana na imani yangu ya dini ninayoifuata. Katika hili la Babu wa Loliondo, watu wanasema ni tiba ya imani. Nina mashaka sana na huyu Mungu wa kuotesha watu ni yupi? Kwa kuzingatia kuwa Mungu wa karne hii tuliyonayo ni yule yule wa siku zote, ninaamini kuwa katika dunia ya karne tuliyonayo leo hii, changamoto za dunia zimebadilika sana kutoka zile za enzi za miujiza kabla na wakati wa Yesu Kristu. Katika vitabu vitakatifu tumeshuhudia Mungu akifanya kazi zake kupambana na changamoto za zama hizo za kale kabla ya Yesu na kipindi cha Yesu. Changamoto hizo ni tofauti kabisa na enzi tuliyonayo kipindi cha sasa. Enzi hizo ilikuwa ni dunia isiyokuwa ya kufikiri (critical thinking) kama ilivyo dunia ya kisasa. Kwa hili, ni wazi kuwa si mara zote yale yaliyofanywa enzi za kabla na kipindi cha Yesu Kristu yanaweza kabisa kuhalalisha matukio yote na changamoto zote za maisha ya kileo. Ni vigumu sana mtu akajitokeza leo na kudai eti katumwa na Mungu au kaoteshwa na watu wenye akili timamu wakamwamini kirahisi rahisi tu kwa kuzingatia eti kwasababu watu wengi wanamkubali.

Tuko katika dunia ambayo kufikiri kwa kina ni silaha muhimu sana kwa kila mwanadamu ili aweze kushinda changamoto za dunia. Kuishi kwa kufuata upepo tu, hasa kwa masuala yanayohusu Mungu au imani inaweza ikawa ni kiama kwa nchi yetu. Nasema hivi kwani ni hivi majuzi tu kule Nigeria wameibuka watu huko Kaskazini wakiwashawishi vijana wasiokuwa na kazi wajiunge na kikundi chenye imani ya kidini ya kiislamu wanajiita “Bokoharam” wakiwaua na kuchoma makanisa ya wakristu wakiamini watapata thawabu. Yapo pia makanisa na hata watu wamefikia mahali wanajiita eti ni manabii hata hapa Tanzania na watu wengi wanawaamini kuwa wana uwezo wa unabii. Haya yote yanachangiwa na kukuwa kwa tatizo la ujinga ‘ignorance’ na inasikitisha ujinga umeenea hata kwa wasomi na taaluma mbalimbali.

Binafsi naamini kabisa kama jamii tuna kazi ya kung’amua dhana ya Mungu - God’s concept, kwani watanzania wa leo wana dhana nyingi sana za Mungu. Kila mtu ana Mungu wake na hii inapelekea sasa kuamini kila anayekuja na miujiza akituambia ni ya Mungu. Ni lazima tuwe makini katika kujiuliza kwa kufikiri kwa dhati juu ya uhalisia wa kazi na utendaji wa Mungu katika dunia yetu leo hii. Binafsi naamini kuwa Mungu yupo, miujiza ya kimungu ipo, tiba mbadala za mitishamba na hata za kiroho zipo. Tatizo langu ni kuwa ingawa huwa ninasikia sana kuwa tiba za kiimani (kiroho) zinatibu ambapo vilema wanatembea, vipofu wanaona na viziwi wanasikia lakini katika umri wangu sijawahi kumwona huyo mtu aliyewahi kutembea, kuona au kusikia. Kwangu, naamini tiba ya kiroho inakuzwa sana, kinachowezekana tu ni pale ambapo nguvu ya kiroho inapopambana na mapepo. Hapa naamini kabisa inafanya kazi lakini si katika kutibu magonjwa ambayo yanapaswa yatibiwe hospitalini. Sanasana inasaidia tu ikiwa ni kama therapy na ni kwa baadhi ya magonjwa. Si yote yanahitaji therapy, mtu hawezi pona kidonda kwa nguvu ya imani, ni lazima apate dawa.

Wako wengine wanategemea tiba za kupiga ramli. Hizi zipo na ni kielelezo cha watu walivyo na dhana mbalimbali za Kiroho. Hizi kidini zinapingwa na ni ushirikina kwani hazielezeki na zinavuka zile taratibu takatifu za kimungu huku mara nyingi zikitumika kuwadhuru wengine. Kimsingi upigaji ramli hauna furaha ya kweli kwa mtumiaji, ila gagari tu ya watu katika kuishi (superfircial).

Hivyo basi, kama dawa ya Babu Mwaisapile inatibu basi itakuwa ni dawa ya mitishamba ambayo kama zilivyo dawa zingine za kisayansi mahospitalini zimepatikana kutokana na baraka za Mwenyezi Mungu. Kufurika kwa wananchi wengi huko Loliondo na kushindwa kwa serikali kutekeleza wajibu wa kuwafahamisha wananchi kama kweli dawa hiyo ni salama au muafaka inaleta walakini sana kama kweli wataalam wetu wa afya wanasomea kazi zao na wanafuzu kufikia kiwango cha kujiamini. Kigugumizi cha wataalam wa afya na kauli za tahadhari za wataalam wa afya na hata watawala wa serikali ni kielelezo kuwa elimu wanayoipata baadhi ya watanzania haiwajengei kujiamini kwa kile wanachokiamini.

Mwisho huku nikibakia kutoamini hata kidogo juu ya uwezo wa Babu Mwaisapile kutibu magonjwa anayodai, nadhani ni kipindi muafaka kwa watanzania tujikumbushe na tuchukue tahadhari juu ya mambo ya uzushi yanapoibuka. Hili la Babu wa Loliondo ni sawa kabisa na mazingaumbwe (superstition). Hili ni jambo ambalo linaegemea ukweli au imani ambayo haiwezi kuthibitishwa kisayansi. Katika dunia ya leo, kila jambo linahitaji maelezo yanayoonesha “cause and effect”, yaani chanzo na matokeo. Enzi tulizonazo si zile za kuambiwa kitu kisichohitaji kuhojiwa kama ambavyo masuala ya imani yanataka. Kama wananchi wengi tutakubali tu kuwa kila mtu aje na madai ya kuoteshwa, basi tutakuwa ni jamii kuamini mambo yasioelezeka na hatutakuwa tofauti na jamii ya washirikina ambao kwa kawaida ni watu waliokata tama ambao kwao wako tayari kujaribu chochote ili kujisaidia bila kujali usahihi wa njia za kutatua matatizo yao.

Naamini kuwa kwa dunia tuliyofikia leo, tutumie elimu yetu katika kuzingatia kanuni za kujikinga na maradhi mbalimbali. Aina ya maisha tunayoishi, vyakula na vinywaji tunavyotumia ndio chanzo cha maradhi mbalimbali. Tukiweza kuyashinda matamanio yetu itasaidia kupunguza maradhi haya. Si kusubiri watu kuoteshwa ndoto na Mungu ndio itakuwa kinga yetu.

Tuesday, March 22, 2011

RAISI YOWERI MUSEVENI NA JINSI ANAVYOMUONA GADAFI NA UTAWALA WAKE

Rais Yoweri Museveni kaandika makala juu ya kasheshe la Libya. Amemchambua raisi mwenzake kwa undani. Amekataa kabisa waasi wa Libya kusaidiwa na nguvu kutoka nje lakini akanishangaza kuwa hata yeye aliingia madarakani kwa nguvu kutoka nje, hasa Tanzania.
HII NDIYO MAKALA YAKE
By the time Muammar Gaddaffi came to power in 1969, I was a third year university student at Dar-es-Salaam. We welcomed him because he was in the tradition of Col. Gamal Abdul Nasser of Egypt who had a nationalist and pan-Arabist position.

Soon, however, problems cropped up with Col. Gaddafi as far as Uganda and Black Africa were concerned:

1. Idi Amin came to power with the support of Britain and Israel because they thought he was uneducated enough to be used by them. Amin, however, turned against his sponsors when they refused to sell him guns to fight Tanzania. Unfortunately, Col. Muammar Gaddafi, without getting enough information about Uganda, jumped in to support Idi Amin.

This was because Amin was a ‘Moslem’ and Uganda was a ‘Moslem country’ where Moslems were being ‘oppressed’ by Christians. Amin killed a lot of people extra-judicially and Gaddafi was identified with these mistakes. In 1972 and 1979, Gaddafi sent Libyan troops to defend Idi Amin when we attacked him. I remember a Libyan Tupolev 22 bomber trying to bomb us in Mbarara in 1979.

The bomb ended up in Nyarubanga because the pilots were scared. They could not come close to bomb properly. We had already shot-down many Amin MIGs using surface-to-air missiles.

The Tanzanian brothers and sisters were doing much of this fighting. Many Libyan militias were captured and repatriated to Libya by Tanzania. This was a big mistake by Gaddafi and a direct aggression against the people of Uganda and East Africa.

2. The second big mistake by Gaddafi was his position vis-à-vis the African Union (AU) Continental Government “now”. Since 1999, he has been pushing this position. Black people are always polite. They, normally, do not want to offend other people. This is called: ‘obufura’ in Runyankore, mwolo in Luo – handling, especially strangers, with care and respect. It seems some of the non-African cultures do not have ‘obufura’.

You can witness a person talking to a mature person as if he/she is talking to a kindergarten child. “You should do this; you should do that; etc.” We tried to politely point out to Col. Gaddafi that this was difficult in the short and medium term. We should, instead, aim at the Economic Community of Africa and, where possible, also aim at Regional Federations.

Col. Gaddafi would not relent. He would not respect the rules of the AU. Something that has been covered by previous meetings would be resurrected by Gaddafi. He would ‘overrule’ a decision taken by all other African Heads of State. Some of us were forced to come out and oppose his wrong position and, working with others, we repeatedly defeated his illogical position.

3. The third mistake has been the tendency by Col. Gaddafi to interfere in the internal affairs of many African countries using the little money Libya has compared to those countries. One blatant example was his involvement with cultural leaders of Black Africa – kings, chiefs, etc.

Since the political leaders of Africa had refused to back his project of an African Government, Gaddafi, incredibly, thought that he could by-pass them and work with these kings to implement his wishes. I warned Gaddafi in Addis Ababa that action would be taken against any Ugandan king that involved himself in politics because it was against our Constitution.

I moved a motion in Addis Ababa to expunge from the records of the AU all references to kings (cultural leaders) who had made speeches in our forum because they had been invited there illegally by Col. Gaddafi.

4. The fourth big mistake was by most of the Arab leaders, including Gaddafi to some extent. This was in connection with the long suffering people of Southern Sudan. Many of the Arab leaders either supported or ignored the suffering of the Black people in that country.

This unfairness always created tension and friction between us and the Arabs, including Gaddafi to some extent. However, I must salute H.E. Gaddafi and H.E. Hosni Mubarak for travelling to Khartoum just before the Referendum in Sudan and advised H.E. Bashir to respect the results of that exercise.

5. Sometimes Gaddafi and other Middle Eastern radicals do not distance themselves sufficiently from terrorism even when they are fighting for a just cause. Terrorism is the use of indiscriminate violence – not distinguishing between military and non-military targets. The Middle Eastern radicals, quite different from the revolutionaries of Black Africa, seem to say that any means is acceptable as long as you are fighting the enemy.

That is why they hijack planes, use assassinations, plant bombs in bars, etc. Why bomb bars? People who go to bars are normally merry-makers, not politically minded people. We were together with the Arabs in the anti-colonial struggle. The Black African liberation movements, however, developed differently from the Arab ones. Where we used arms, we fought soldiers or sabotaged infrastructure but never targeted non-combatants.

These indiscriminate methods tend to isolate the struggles of the Middle East and the Arab world. It would be good if the radicals in these areas could streamline their work methods in this area of using violence indiscriminately.

These five points above are some of the negative points in connection to Col. Gaddafi as far as Uganda’s patriots have been concerned over the years. These positions of Col. Gaddafi have been unfortunate and unnecessary.

Nevertheless, Gaddafi has also had many positive points objectively speaking. These positive points have been in favour of Africa, Libya and the Third World. I will deal with them point by point:

1. Col. Gaddafi has been having an independent foreign policy and, of course, also independent internal policies. I am not able to understand the position of Western countries which appear to resent independent-minded leaders and seem to prefer puppets.

Puppets are not good for any country. Most of the countries that have transitioned from Third World to First World status since 1945 have had independent-minded leaders: South Korea (Park Chung-hee), Singapore (Lee Kuan Yew), China People’s Republic (Mao Tse Tung, Chou Enlai, Deng Xiaoping, Marshal Yang Shangkun, Li Peng, Jiang Zemin, Hu Jing Tao, etc), Malaysia (Dr. Mahthir Mohamad), Brazil (Lula Da Silva), Iran (the Ayatollahs), etc.

Between the First World War and the Second World War, the Soviet Union transitioned into an Industrial country propelled by the dictatorial but independent-minded Joseph Stalin. In Africa we have benefited from a number of independent-minded leaders: Col. Nasser of Egypt, Mwalimu Nyerere of Tanzania, Samora Machel of Mozambique, etc.

That is how Southern Africa was liberated. That is how we got rid of Idi Amin. The stopping of genocide in Rwanda and the overthrow of Mobutu, etc., were as a result of efforts of independent-minded African leaders. Muammar Gaddafi, whatever his faults, is a true nationalist. I prefer nationalists to puppets of foreign interests.

Where have the puppets caused the transformation of countries? I need some assistance with information on this from those who are familiar with puppetry.

Therefore, the independent-minded Gaddafi had some positive contribution to Libya, I believe, as well as Africa and the Third World. I will take one little example.

At the time we were fighting the criminal dictatorships here in Uganda, we had a problem arising of a complication caused by our failure to capture enough guns at Kabamba on the 6th of February, 1981.

Gaddafi gave us a small consignment of 96 rifles, 100 anti-tank mines, etc., that was very useful. He did not consult Washington or Moscow before he did this.

This was good for Libya, for Africa and for the Middle East. We should also remember as part of that independent-mindedness he expelled British and American military bases from Libya, etc.

2. Before Gaddafi came to power in 1969, a barrel of oil was 40 American cents. He launched a campaign to withhold Arab oil unless the West paid more for it. I think the price went up to US$ 20 per barrel.

When the Arab-Israel war of 1973 broke out, the barrel of oil went to US$ 40. I am, therefore, surprised to hear that many oil producers in the world, including the Gulf countries, do not appreciate the historical role played by Gaddafi on this issue.

The huge wealth many of these oil producers are enjoying was, at least in part, due to Gaddafi’s efforts. The Western countries have continued to develop in spite of paying more for oil. It, therefore, means that the pre-Gaddafi oil situation was characterized by super exploitation in favour of the Western countries.

3. I have never taken time to investigate socio-economic conditions within Libya. When I was last there, I could see good roads even from the air. From the TV pictures, you can even see the rebels zooming up and down in pick-up vehicles on very good roads accompanied by Western journalists.

Who built these good roads? Who built the oil refineries in Brega and those other places where the fighting has been taking place recently? Were these facilities built during the time of the king and his American as well as British allies or were they built by Gaddafi?

In Tunisia and Egypt, some youths immolated (burnt) themselves because they had failed to get jobs. Are the Libyans without jobs also? If so, why, then, are there hundreds of thousands of foreign workers? Is Libya’s policy of providing so many jobs to Third World workers bad? Are all the children going to school in Libya? Was that the case in the past – before Gaddafi?

Is the conflict in Libya economic or purely political? Possibly Libya could have transitioned more if they encouraged the private sector more. However, this is something the Libyans are better placed to judge.

As it is, Libya is a middle income country with GDP standing at US$ 89.03 billion. This is about the same as the GDP of South Africa at the time Mandela took over leadership in 1994 and it about 155 times the current size of GDP of Spain.

4. Gaddafi is one of the few secular leaders in the Arab world. He does not believe in Islamic fundamentalism that is why women have been able to go to school, to join the Army, etc. This is a positive point on Gaddafi’s side.

Coming to the present crisis, therefore, we need to point out some issues:

1. The first issue is to distinguish between demonstrations and insurrections. Peaceful demonstrations should not be fired on with live bullets. Of course, even peaceful demonstrations should coordinate with the Police to ensure that they do not interfere with the rights of other citizens.

When rioters are, however, attacking Police stations and Army barracks with the aim of taking power, then, they are no longer demonstrators; they are insurrectionists. They will have to be treated as such.

A responsible Government would have to use reasonable force to neutralize them. Of course, the ideal responsible Government should also be an elected one by the people at periodic intervals. If there is a doubt about the legitimacy of a Government and the people decide to launch an insurrection, that should be the decision of the internal forces.

It should not be for external forces to arrogate themselves that role, often, they do not have enough knowledge to decide rightly.

Excessive external involvement always brings terrible distortions. Why should external forces involve themselves? That is a vote of no confidence in the people themselves.

A legitimate internal insurrection, if that is the strategy chosen by the leaders of that effort, can succeed. The Shah of Iran was defeated by an internal insurrection; the Russian Revolution in 1917 was an internal insurrection; the Revolution in Zanzibar in 1964 was an internal insurrection; the changes in Ukraine, Georgia, etc., all were internal insurrections.

It should be for the leaders of the Resistance in that country to decide their strategy, not for foreigners to sponsor insurrection groups in sovereign countries.

I am totally allergic to foreign, political and military involvement in sovereign countries, especially the African countries. If foreign intervention is good, then, African countries should be the most prosperous countries in the world because we have had the greatest dosages of that: slave trade, colonialism, neo-colonialism, imperialism, etc.

All those foreign imposed phenomena have, however, been disastrous. It is only recently that Africa is beginning to come up partly because of rejecting external meddling. External meddling and the acquiescence by Africans into that meddling have been responsible for the stagnation in Africa.

The wrong definition of priorities in many of the African countries is, in many cases, imposed by external groups. Failure to prioritize infrastructure, for instance, especially energy, is, in part, due to some of these pressures. Instead, consumption is promoted. I have witnessed this wrong definition of priorities even here in Uganda.

External interests linked up, for instance, with internal bogus groups to oppose energy projects for false reasons. How will an economy develop without energy? Quislings and their external backers do not care about all this.

2. If you promote foreign backed insurrections in small countries like Libya, what will you do with the big ones like China which has got a different system from the Western systems? Are you going to impose a no-fly-zone over China in case of some internal insurrections as happened in Tiananmen Square, in Tibet or in Urumqi?

3. The Western countries always use double standards. In Libya, they are very eager to impose a no-fly-zone. In Bahrain and other areas where there are pro-Western regimes, they turn a blind eye to the very same conditions or even worse conditions.

We have been appealing to the UN to impose a no-fly-zone over Somalia so as to impede the free movement of terrorists, linked to Al-Qaeda, that killed Americans on September 11th, killed Ugandans last July and have caused so much damage to the Somalis, without success. Why? Are there no human beings in Somalia similar to the ones in Benghazi? Or is it because Somalia does not have oil which is not fully controlled by the western oil companies on account of Gaddafi’s nationalist posture?

4. The Western countries are always very prompt in commenting on every problem in the Third World – Egypt, Tunisia, Libya, etc. Yet, some of these very countries were the ones impeding growth in those countries.

There was a military coup d'état that slowly became a Revolution in backward Egypt in 1952. The new leader, Nasser, had ambition to cause transformation in Egypt.

He wanted to build a dam not only to generate electricity but also to help with the ancient irrigation system of Egypt. He was denied money by the West because they did not believe that Egyptians needed electricity. Nasser decided to raise that money by nationalizing the Suez Canal.

He was attacked by Israel, France and Britain. To be fair to the USA, President Eisenhower opposed that aggression that time. Of course, there was also the firm stand of the Soviet Union at that time. How much electricity was this dam supposed to produce? Just 2000 mgws for a country like Egypt!! What moral right, then, do such people have to comment on the affairs of these countries?

5. Another negative point is going to arise out of the by now habit of the Western countries over-using their superiority in technology to impose war on less developed societies without impeachable logic. This will be the igniting of an arms race in the world.

The actions of the Western countries in Iraq and now Libya are emphasizing that might is “right.” I am quite sure that many countries that are able will scale up their military research and in a few decades we may have a more armed world.

This weapons science is not magic. A small country like Israel is now a super power in terms of military technology. Yet 60 years ago, Israel had to buy second-hand fouga magister planes from France.

There are many countries that can become small Israels if this trend of overusing military means by the Western countries continues.


6. All this notwithstanding, Col. Gaddafi should be ready to sit down with the opposition, through the mediation of the AU, with the opposition cluster of groups which now includes individuals well known to us – Ambassador Abdalla, Dr. Zubeda, etc.

I know Gaddafi has his system of elected committees that end up in a National People’s Conference. Actually Gaddafi thinks this is superior to our multi-party systems. Of course, I have never had time to know how truly competitive this system is.

Anyway, even if it is competitive, there is now, apparently, a significant number of Libyans that think that there is a problem in Libya in terms of governance.

Since there has not been internationally observed elections in Libya, not even by the AU, we cannot know what is correct and what is wrong. Therefore, a dialogue is the correct way forward.

7. The AU mission could not get to Libya because the Western countries started bombing Libya the day before they were supposed to arrive.

However, the mission will continue. My opinion is that, in addition, to what the AU mission is doing, it may be important to call an extra-ordinary Summit of the AU in Addis Ababa to discuss this grave situation.

8. Regarding the Libyan opposition, I would feel embarrassed to be backed by Western war planes because quislings of foreign interests have never helped Africa.

We have had a copious supply of them in the last 50 years – Mobutu, Houphouet Boigny, Kamuzu Banda, etc. The West made a lot of mistakes in Africa and in the Middle East in the past.

Apart from the slave trade and colonialism, they participated in the killing of Lumumba, until recently, the only elected leader of Congo, the killing of Felix Moummie of Cameroon, Bartholomew Boganda of Central African Republic, the support for UNITA in Angola, the support for Idi Amin at the beginning of his regime, the counter-revolution in Iran in 1953, etc.

Recently, there has been some improvement in the arrogant attitudes of some of these Western countries. Certainly, with Black Africa and, particularly, Uganda, the relations are good following their fair stand on the Black people of Southern Sudan.

With the democratization of South Africa and the freedom of the Black people in Southern Sudan, the difference between the patriots of Uganda and the Western Governments had disappeared. Unfortunately, these rush actions on Libya are beginning to raise new problems. They should be resolved quickly.

Therefore, if the Libyan opposition groups are patriots, they should fight their war by themselves and conduct their affairs by themselves. After all, they easily captured so much equipment from the Libyan Army, why do they need foreign military support? I only had 27 rifles. To be puppets is not good.

9. The African members of the Security Council voted for this Resolution of the Security Council. This was contrary to what the Africa Peace and Security Council had decided in Addis Ababa recently. This is something that only the extra-ordinary summit can resolve.

10. It was good that certain big countries in the Security Council abstained on this Resolution. These were: Russia, China, Brazil, India, etc. This shows that there are balanced forces in the world that will, with more consultations, evolve more correct positions.

11. Being members of the UN, we are bound by the Resolution that was passed, however rush the process. Nevertheless, there is a mechanism for review. The Western countries, which are most active in these rush actions, should look at that route.

It may be one way of extricating all of us from possible nasty complications. What if the Libyans loyal to Gaddafi decide to fight on? Using tanks and planes that are easily targeted by Mr. Sarkozy’s planes is not the only way of fighting. Who will be responsible for such a protracted war? It is high time we did more careful thinking.


Yoweri K. Museveni
PRESIDENT

Sunday, March 20, 2011

GADAFI KUKIONA CHA MOTO

Ni vita inayochochewa na Uingereza na Ufaransa wakijaribu kumsapoti Mmarekani.
Gadafi mwenyewe kajificha kwenye handaki, je atapona?

Saturday, March 19, 2011

MEYA KIJANA WA JIJI LA KAMPALA

Huyu bwana ana kazi kubwa kuongoza jiji la Kampala.
Hebu soma mipango ya meya huyu:

Wednesday, March 02, 2011

GHADAFI SASA ANAHANGAIKA

Nimekuwa nikimtizama Moumar Gadafi akihutubia hadhara fulani mchana huu jijini Tripoli. Analaumu UN kuweka vikwazo na pia anasema eti Libya hakkuna watu wanaompinga ila kkuna uvamizi wa Al Quida tu.
Kama mtu ulifuatilia wakati Sadam Hussein alipokuwa anakaribia kufikia kilele cha utawala wake ni mfanano na jinsi ambavyo Gadafi anajaribu kufanya. Ninaamini kabisa, pindi ambapo Marekani na washirika wake wakiingia Libya basi tutairejea ile Movie ya Sadam Hussein. Pamoja na kwamba kuingia kwa Marekani kutaambatana na maslahi yake kiuchumi, lakini ni vyema waingilie ili madikteta wa Afrika wafunzwe adabu.

Saturday, February 26, 2011

SABABU ZA MUSEVENI KUSHINDA UCHAGUZI TENA

Yoweri Kaguta Museveni ameshinda urais wiki iliyopita na hii inathibitisha ataitawala Uganda kwa kipindi cha miaka mitano ijayo kufanya awe ametawala kwa miaka 30. Katiba ya Uganda ambayo ilibadilishwa na kuondoa ukomo wa utawala kwa kura nyingi za wabunge wa chama tawala ndio inayoruhusu hali hii.
Hata hivyo wananchi nao wanaonekana wanampenda huyu mzee kwani amewatoa mbali sana. Lakini pia ameweza kuwa mwanasiasa anayezungumza mambo yenye mashiko kwa wananchi wa kawaida tofauti na mpinzani wake Kizza Besigye. Hii ndio nguzo yake kuu. Ukisoma makala ifuatayo utaona ni kwanini hasa huyu mzee inakuwa vigumu wananchi wamwache?
Pia wengine wameona kuwa kitendo cha kutojiunga wapinzani kwa pamoja kimewaua ingawa pia hii ingekuwa ni kuua umaarufu wa chama cha FDC.

Sunday, February 20, 2011

Thursday, February 10, 2011

Friday, January 07, 2011

MAUAJI YA ARUSHA

Tukio lililotokea Arusha naamini linaweza kuwa ni kielelezo muhimu katika kujenga msingi wa demokrasia katika Tanzania ya kisasa. Kama tuna uelewa wa kileo naamini katika tukio hili basi kuna haja ya mambo yafuatayo kutokea:
i)Ni sawa kabisa kwa viongozi wa Chadema kufikishwa mahakamani lakini mahakama hiyo iwe huru. Na wahukumiwe kama wana hatia.
ii)Yaanzishwe mashtaka katika mahakama kuu juu ya maisha ya watu waliouawa, jeruhiwa, na hata kuvunjiwa haki za binadamu. Mashtaka haya yawe dhidi ya jeshi la polisi na kwa yeyote ambaye alihusika katika kusababisha hasara au hata kushambulia polisi.
iii)Naamini, ikiwa haya yatafanyika, basi IGP, ARUSHA RPC,WAZIRI WA MAMBO YA NDANI lazima wawajibike na tukio hili.
Kama kweli tunataka mabadiliko ya kweli basi kuna haja ya kampeni maalum za kuwalazimisha watendaji wakuu wa Polisi wawajibike. Vyombo vya habari visilale.

Saturday, January 01, 2011

TOP AFRICAN DICTATORS 2011


Story: Courtesy of East African Newspaper
The problems of corruption, violence, poverty and elections that make a mockery of democracy continue to be a monkey on Africa’s back.Increasingly, though, they are now becoming the lesser problem, not the primary one.

There is now a new narrative, which no longer sounds overly optimistic — that Africa is on the course to being “the most happening” continent in the world.

In 2010, Africa’s population surpassed one billion people — close on the heels of China and India.

And something else — just over 40 per cent of Africans live in cities — a proportion close to China’s and India’s.

This is important because it is cities that drive modern economies.

And, for good measure, statistics show that 59 million African households earn at least $5,000 per year and that number is forecast to reach 106 million by 2014.

The world’s richest corporations are booking a ringside seat at the Africa party.

Walmart — America’s and the world’s largest supermarket chain — recently offered more than $4 billion to buy a South African retail chain.

Coca-Cola has announced it will spend $12 billion over the next 10 years to improve its production and sales network across the continent.

Increasingly, many people argue that Africa has one big problem to solve — leadership; especially political leadership.

The Mo Ibrahim Foundation, thinking along the same lines, in 2007 launched its African Leadership Prize.

At $5 million, it is the world’s richest prize. The prize was to encourage good leadership and democracy, and was given to a just-retired leader to enable them keep their inspiring example alive through selected public projects.

After two awards, it ran out of candidates. Apart from the Mo Ibrahim Prize, there is no other significant effort to put the spotlight on African leaders.

At Nation Media Group, we decided to offer some thought on this matter, and our Africa Project staffers SAMANTHA SPOONER and JEFFREY DAVIS spent the year tracking reports of the political actions of all of Africa’s leaders and measuring them against the impact their governments had. The result is our first Annual African Leaders Scorecard.It is a first stab, a throwing of the stone in the bush to see what comes out.
We rely on various indexes; The Mo Ibrahim Index of African Governance; the Democracy Index; Freedom House’s Press Freedom Index; Transparency International’s Corruption Index; and the UN’s Human Development Index.

We then developed a Nation Media Group (NMG) Index to complement the others we chose.

The final score on which the political leaders are judged is an average of the scores from all these indexes.

This is, by no means, an iron-clad scientific approach, and should be considered as the beginning of an exploration and measurement of the continent’s leaders that, we hope, we shall only be able to perfect in the years to come.

HERI YA MWAKA MPYA 2011