My Blog List

Sunday, November 13, 2005

MAALIM SEIF NI WAKUJA UNGUJA

Unaambiwa Zanzibar kama nilivyosema juma lililopita haitakaa itawaliwe na wapemba.Ndio maana nilishauri chama cha CUF kujifute alafu watu wa CUF wajiunge CCM siasa ziendelee, upinzani ndani kwa ndani. Ila leo nimevutwa na maandishi kabambe katika the gurdian la leo. soma hapa
Huyu bwana kanifurahisha nafikiri watanzania wakimsoma huyu mwandishi kuna msisimko fulani utaupata, unaweza kuamini Seif ni wakuja tu pale Unguja?Je ingewezekanaje awe raisi?
Angekubalika kweli?Kamwe nafikiri ndio maana kashindwa kwa mizengwe. Naiona hali sawa tu kwa upande wa Pemba kwani Karume naye hakubaliki huko. soma

No comments: