My Blog List

Saturday, January 10, 2015

HAYA ETI YALIJIRI SAKATA LA BUNGE LA EALA!


Kwa kweli ukifuatilia lile sakata la mwishoni mwa mwaka jana Bunge la EALA ambapo wawakilishi wetu walikuwa wakimuunga mkono Spika Margreth Zziwa kwa sana, lilikuwa limejaa mambo mengi sana ya kiajabuajabu. Ona, jinsi mambo ya mizengwe ya kisiasa za kiafrika yalivyotawala.

No comments: