My Blog List

Tuesday, November 04, 2008

OBAMA RAISI MPYA MAREKANI

Seneta Obama hatimaye ameshinda urais wa Marekani na anakuwa rais wa Kwanza Mweusi kwa historia. John Mc Cain amekuwa wa kwanza kukiri kuwa ameshindwa kiungwana na kumpongeza mwenzake Obama. Hili limekuwa funzo lingine kwa wagombea wetu wa kiafrika na kitanzania wanaposhindwa si kukimbilia mahakamani bali ni kukubali.
Seneta Obama ndio anatoa hotuba ya shukrani kwa sasa ninapoandika hii makala.

No comments: