My Blog List

Saturday, August 04, 2007

LIGI YA UINGEREZA YAANZA

Msimu mpya wa ligi ya Uingereza unaanza na kwa wale wapenda soka, mambo mtindo mmoja. Kesho mechi ya kufungua pazia itapigwa kati ya Chelsea na Man United. Utabiri unaonesha huu ni mwaka wa Chelsea au Liverpool kwa nionavyo japo Arsenal nina shaka wataonesha maajabu. Huko Uganda, chama cha soka kinafanya mabo kibiashara ambapo ligi ya Uganda itaoneshwa runingani.
Sasa ligi inaanza na utabiri unaonesha ni mwaka wa timu zilezile za msimu uliopita.
Huko Hispania kuna uvumi kuwa Barcelona kumwongeza Henry haitafua dafu kiushambuliaji kabisa.

Ukiacha soka kuna mambo ya personality yamenikuna kidogo. Alafu kuna hii hali ya Zimbabwe inakuwa mbaya kila kukicha na inaonekana Robert Mugabe kaamua kukomalia urais.

No comments: