My Blog List

Wednesday, February 21, 2007

LEO SIASA ZA UGANDA

Uganda ina siasa mbili: ya nchi na ya Jadi ambayo sasa kuna waka moto huko Lubiri.
Kuna fununu Makamu wa Rais wa Uganda atang'olewa madarakani.Je inawezekana?na je ni nani huyu Profesa Bukenya? Yeye mwenyewe kaamua kuwa ngangari na anasema haendi kokote, je hili tishio kwa Museveni na ndio maana anamng'oa kwani kwa Uganda, kuna imani kuwa mtu wa kabila la BUGANDA hawezi kuwa rais kamwe kwani hiki ni cheo cha watu wa anakotokea Museveni tu: Mashariki.
Kuna maoni juu ya filamu ya Iddi Amin; na pia unajua uwongo wa picha hiyo?

No comments: