My Blog List

Wednesday, September 28, 2011

RAIS MPYA ZAMBIA AKARIBISHWA IKULU




Rais mpya wa Zambia bw Sata amekaribishwa Ikulu na kukabidhiwa rasmi mjengo na Rais wa zamani Banda. Hawa jamaa wamepiga hatua sana kidemokrasia.
Serikali mpya tayari imeanza kazi kwa kudhibiti matumizi mabaya ya mali za umma. Kwa mfano, kumbe chama tawala MMD kilikuwa kinatumia magari ya jeshi kwa kampeni. Magari hayo yamekamatwa yote.

DIKTETA IDD AMIN ALIKUWA KIONGOZI BORA

Hivi una habari kuwa Iddi Amin, yule dicteta wa Uganda alikuwa kiongozi bora kuliko Museveni? Soma hii ucheke.

MAMBO YA THE HAGUE



Hawa ni mawaziri wawili wa Kenya. Mmoja ni mtuhumiwa wa mauaji wakati wa uchaguzi, UHURU KENYATA ambaye anashtakiwa huko The Hague ingawa mambo yanaonekana yana mwelekeo mzuri kwake. Anayembusu ni Beth Mugo, waziri wa Afya wa Kenya. Wote ni Wakikuyu, ukabila bila shaka ndio unaowaunganisha.

WANGARI MAATHAI KUPEWA MAZIKO YA KITAIFA



Naamini huyu ndiye mwanamke ambaye alikuwa makini kwa kile alichokiamini. Lakini kama kawaida yetu wanadamu, kifo kimemfika na sasa serikali imeamua itampa maziko ya kitaifa. Profesa Wangari, aliweka wosia kuwa akifa asizikwe na jeneza la mbao kwani ni kuharibu misitu.
Alikuwa ni mwanamke mwanaharakati haswa wala si hawa wanaharakati wa kijinsia ambao uswahiba wao na mafisadi ndio mtindo. Huyu alisimamia alichokiamini akiboresha mazingira na wanawake wa kawaida vijijini na sio hawa wanawake wasomi ambao kwao kutetea wenzao si jambo la msingi sana.
Kifo cha mama huyu kina maana nyingi sana mojawapo ikiwa ni hii hapa na pia alikuwa anajituma kwa alichokipambania. Hii ilimfanya awe tofauti na wengine na pia kwa kiasi kikubwa wengi waliomjua siku zile, wanadai alikuwa mbele yetu sana kiuelewa.

Friday, September 23, 2011

RAIS BANDA AKUBALI MATOKEO YA UCHAGUZIKISTAARABU



MANENO YA MWISHO YA RAIS BANDA AKIWAAGA WANANCHI BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI

Haya ni maneno ambayo naamini ni viongozi wachache sana tulionao leo hii ambao wataweza kuyasema na kukubali yaishe kwa amani. Hebu yasome alafu utaniambia.

I HAVE CALLED THIS PRESS CONFERENCE TO SAY A FEW WORDS. THE ELECTION CAMPAIGN OF 2011 IS OVER. THE PEOPLE OF ZAMBIA HAVE SPOKEN AND WE MUST ALL LISTEN. SOME WILL BE HAPPY WITH WHAT THEY HAVE HEARD, OTHERS WILL NOT.

THE TIME NOW IS FOR MATURITY, FOR COMPOSURE AND FOR COMPASSION. TO THE VICTORS, I SAY THIS: YOU HAVE THE RIGHT TO CELEBRATE BUT DO SO WITH A MAGNANIMOUS HEART. ENJOY THE HOUR BUT REMEMBER THAT A TERM OF GOVERNMENT IS FOR YEARS.

REMEMBER THAT THE NEXT ELECTION WILL JUDGE YOU ALSO.
TREAT THOSE WHO YOU HAVE VANQUISHED WITH THE RESPECT AND HUMILITY THAT YOU WOULD EXPECT IN YOUR OWN HOUR OF DEFEAT.

I KNOW THAT ALL ZAMBIANS WILL EXPECT SUCH BEHAVIOUR AND I HOPE IT WILL BE DELIVERED. SPEAKING FOR MYSELF AND MY PARTY, WE WILL ACCEPT THE RESULTS. WE ARE A DEMOCRATIC PARTY AND WE KNOW NO OTHER WAY.

IT IS NOT FOR US TO DENY THE ZAMBIAN PEOPLE. WE NEVER RIGGED, WE NEVER CHEATED, WE NEVER KNOWINGLY ABUSED STATE FUNDS. WE SIMPLY DID WHAT WE THOUGHT WAS BEST FOR ZAMBIA. I HOPE THE NEXT GOVERNMENT WILL ACT LIKEWISE IN YEARS TO COME.

ZAMBIA DESERVES A DECENT DEMOCRATIC PROCESS. INDEED, ZAMBIA MUST BUILD ON HER PAST VICTORIES. OUR INDEPENDENCE WAS HARD WON, OUR DEMOCRACY SECURED WITH BLOOD.

ZAMBIA MUST NOT GO BACKWARDS, WE MUST ALL FACE THE FUTURE AND GO FORWARD AS ONE NATION. NOT TO DO SO WOULD DISHONOUR OUR HISTORY.

TO MY PARTY, TO THE MMD CANDIDATES WHO DID NOT WIN, THE LESSON IS SIMPLE. NEXT TIME WE MUST TRY HARDER.
WE FOUGHT A GOOD CAMPAIGN. IT WAS DISCIPLINED. I STILL BELIEVE WE HAD A GOOD MESSAGE AND WE REACHED EVERY PART OF THE COUNTRY.

WE TRAVELLED TO ALL NINE PROVINCES AND WE SPOKE TO ALL ZAMBIANS. TO THOSE WHO WORKED EVERY HOUR OF THE DAY, I SAY ‘THANK YOU’. YOU HAVE DONE YOUR BEST. BUT, SADLY, SOMETIMES OUR BEST IS NOT GOOD ENOUGH.

DO NOT BE DISHEARTENED. THE MMD WILL BE BACK. WE MUST ALL FACE THE REALITY THAT SOMETIMES IT IS TIME FOR CHANGE. SINCE 1991, THE MMD HAS BEEN IN POWER. I BELIEVE WE HAVE DONE A GOOD JOB ON BEHALF OF ALL ZAMBIANS.

FREDERICK CHILUBA LED US TO A GENUINE MULTI-PARTY STATE AND INTRODUCED THE PRIVATE SECTOR TO OUR KEY INDUSTRIES. ZAMBIA WAS LIBERATED BY AN MMD IDEAL BUT MAYBE WE BECAME COMPLACENT WITH OUR IDEALS. MAYBE WE DID NOT LISTEN, MAYBE WE DID NOT HEAR.

DID WE BECOME GREY AND LACKING IN IDEAS? DID WE LOSE MOMENTUM? OUR DUTY NOW IS TO GO AWAY AND REFLECT ON ANY MISTAKES WE MAY HAVE MADE AND LEARN FROM THEM. IF WE DO NOT, WE DO NOT DESERVE TO CONTEST POWER AGAIN.

THE ZAMBIA WE KNOW TODAY WAS BUILT BY AN MMD GOVERNMENT. WE KNOW OUR PLACE IN HISTORY AND WE KNOW THAT WE CAN COME BACK TO LEAD AGAIN IN THE FUTURE. A NEW LEADERSHIP WILL BE CHOSEN, AND THAT LEADERSHIP WILL BE FROM THE YOUNGER GENERATION.

MY GENERATION… THE GENERATION OF THE INDEPENDENCE STRUGGLE– MUST NOW GIVE WAY TO NEW IDEAS; IDEAS FOR THE 21ST CENTURY. FROM THIS DEFEAT, A NEW, YOUNGER MMD WILL BE RE-BORN. IF I CAN SERVE THAT RE-BUILDING, THEN I WILL.

I MUST THANK MY CABINET FOR DELIVERING ON OUR PROMISES. WE DID A LOT OF GOOD FOR ZAMBIA. MANY OF OUR PROJECTS WILL BLOSSOM INTO BRIGHT FLOWERS. SOME OF YOU WILL BE BACK TO SERVE ZAMBIA AGAIN – I KNOW YOU WILL DO YOUR BEST FOR YOUR PARTY AND FOR YOUR COUNTRY.
TO THE CIVIL SERVANTS AND GOVERNMENT OFFICIALS, IT HAS BEEN A PRIVILEGE TO SERVE WITH YOU. WE HAVE WORKED MANY LONG HOURS TOGETHER. WE DID IT NOT FOR OURSELVES BUT FOR ZAMBIA. SERVE YOUR NEXT MASTERS AS YOU DID ME, AND ZAMBIA WILL BE IN GOOD HANDS.

I MUST THANK MY FAMILY AND MY WIFE. THEY HAVE STOOD BY ME AND I CANNOT ASK FOR MORE LOYALTY THAN THAT WHICH THEY HAVE DISPLAYED. I LOVE YOU ALL DEARLY AND I WILL ALWAYS BE IN YOUR DEBT.

BEING PRESIDENT IS HARD WORK, IT TAKES LONG HOURS OF WORK. AND BECAUSE OF IT, I HAVE NOT ALWAYS BEEN THERE FOR YOU. YET, STILL YOU WERE THERE FOR ME.

WORDS CANNOT EXPRESS THE DEPTH OF MY LOVE FOR YOU ALL. ALL I ASK IS THAT MY FAMILY CONTINUES TO SERVE ZAMBIA AS I HAVE SOUGHT TO DO.

BUT MY GREATEST THANKS MUST GO TO THE ZAMBIAN PEOPLE. WE MAY BE A SMALL COUNTRY ON THE MIDDLE OF AFRICA BUT WE ARE A GREAT NATION. SERVING YOU HAS BEEN A PLEASURE AND AN HONOUR. I WISH I COULD HAVE DONE MORE, I WISH I HAD MORE TIME TO GIVE.

OUR POTENTIAL IS GREAT. OUR RESOURCES ARE IMPRESSIVE.
I URGE YOU ALL NOW TO RALLY BEHIND YOUR NEW PRESIDENT.
YES, WE MAY HAVE DIFFERENT IDEAS BUT WE BOTH WANT THE SAME THING – A BETTER ZAMBIA.

NOW IS NOT THE TIME FOR VIOLENCE AND RETRIBUTION.
NOW IS THE TIME TO UNITE AND BUILD TOMORROW’S ZAMBIA TOGETHER. ONLY BY WORKING TOGETHER CAN WE ACHIEVE A MORE PROSPEROUS ZAMBIA.

IN MY YEARS OF RETIREMENT, I HOPE TO WATCH ZAMBIA GROW. I GENUINELY WANT ZAMBIA TO FLOURISH. WE SHOULD ALL WANT ZAMBIA TO FLOURISH. SO, I CONGRATULATE MICHAEL SATA ON HIS VICTORY.

I HAVE NO ILL FEELING IN MY HEART, THERE IS NO MALICE IN MY WORDS. I WISH HIM WELL IN HIS YEARS AS PRESIDENT.
I PRAY HIS POLICIES WILL BEAR FRUIT.

BUT NOW IT IS TIME FOR ME TO STEP ASIDE. NOW IS THE TIME FOR A NEW LEADER. MY TIME IS DONE. IT IS TIME FOR ME TO SAY ‘GOOD BYE’.

MAY GOD WATCH OVER THE ZAMBIAN PEOPLE AND MAY HE BLESS OUR BEAUTIFUL NATION.

I THANK YOU.

KUMBE TANZANIA INAITAMBUA SERIKALI MPYA LIBYA?



Hapo Juu: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akitambulisha na kusalimiana na mwenyekiti wa NTC, serikali mpya ya Libya. Sasa najiuliza, ile kadhia ya kumwita balozi wa Libya eti kapandisha bendera kumbe ilikuwa danganya toto tu.

HUYU ANAOMBA KURA NA BASTOLA KIUNONI


Sitaki kuweka maelezo sana ila Ismail Aden Rage ni Mbunge wa Tabora Mjini. Hapa anaomba kura katika kampeni huko Igunga. Unaionaje hiyo? Kwa mtindo huu, ushindi lazima tu, sijui sheria za uchaguzi zinasemaje juu ya hili.

Thursday, September 22, 2011

UCHAGUZI ZAMBIA NA VIMBWANGA VYA UCHAKACHUAJI

Uchaguzi umemalizika Zambia, lakini kama kawaida, Afrika, hakuna uchaguzi msafi. Kuna kila dalili za uchakachuaji na amani tayari umeanza kuleta dalili za kuvurugika kwa amani. Bofya hapa, upate habari kamili.
Hivi si inawezekana Afrika tunahitaji democrasia ya kiafrika na si hii ya vyama vingi kupiga kura. Naona watawala wanapenda chama kimoja. Wadau mnaonaje?

PIKIPIKI (BODABODA) INANITISHA KUIENDESHA


HAPA NAJIVINJARI SIJUI NIACHE USAFIRI HUU?
Kwa mtanzania wa kawaida kama mie, usafiri ninaomudu ni bodaboda. Mie naendesha ya kwangu lakini hali ya usalama huko barabarani ni mbaya sana. Kwa miezi nane tu iliyopita tayari wamekufa watu 53 kwa ajali za pikipiki.
Najiuliza sijui niache kuendesha au vipi manake ukiacha hivyo vifo, majeruhi ndio usiseme. Angalia taarifa hii ya polisi Tanzania uniambie nifanyeje, hivi kwani nini hasa chanzo cha ajali hizi nyingi hivi? Binafsi huu ni mwaka wa nne naendesha pikipiki, nimepata ajali mara moja tu, na siku hiyo ilinibidi niache kuendesha kwa wiki hivi manake nilipatwa na kiwewe, Mungu alisaidia sikuumia ingawa nilichubuka magotini tu na mtambo haukudhurika. Mwendesha baskeli mmoja mlevi aliingia barabarani nikiwa kwenye spidi, katika kujaribu kumkwepa ndipo nikamgonga na nikaruka mtaroni. Ni Mungu alisaidia tu.
Kwa takwimu hizi za polisi, nimebaki sina majibu kwa usalama wangu, nifanyeje jamani?

Tuesday, September 20, 2011

UGANDA - WEAKLEAKS HAIKANUSHWI ILA YANAFAFANULIWA




Uganda ni nchi ambayo imekuwa chini ya utawala wa Rais Museveni kwa miongo kadhaa sasa. Rais huyo inasemekana sasa ameanza kuwa dikteta na anamuandaa mwanae kumrithi kama ilivyo kawaida kwa viongozi wa kiafrika. Ndani ya chama chake wako watu ambao wamethubutu kuweka wazi juu ya kupinga baadhi ya mambo ambayo anayafanya.
Yuko bwana mmoja, Kapteni Mike Mukula, ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa NRM kutoka ukanda wa Mashariki na aliyewahi kuwa waziri wa Afya, amenukuliwa na Wiki Leakes akisema kuwa hakubaliani na mambo ya Museveni na alipohojiwa hakupinga mambo ambayo aliongea na Balozi wa Marekani. Huyu bwana jasiri kwelikweli, tungekuwa na viongozi wa aina hii wanamzunguka Rais wa Tanzania, mbona ingekuwa raha!

Thursday, September 15, 2011

GAIDI LA UGANDA



Kijana wa Kiafrika ni kwanini anaamua kuwa "gaidi" na kuamua kuteketeza maisha ya wenzake? Soma hii uone huko Uganda mfuasi wa magaidi wa somalia.

Tuesday, September 13, 2011

TUMEANZA NA MELI BADO NDEGE

Ajali haina Kinga - Wahenga walisema. Sijui wenzangu mtasemaje ila hizi ajali mbili zilizotokea moja, Zanzibar ambapo meli imezama na ya pile kule Kenya ambapo bomba la mafuta limepasuka na likaua wakazi wengi masikini ambao waliamua kujenga nyumba juu ya bomba la mafuta linadhihirisha kuwa "Ajali ina kinga bwana".
Hebu ona hili: Meli ina uwezo wa kubeba abiria idadi fulani; lakini kwa tamaa na utamaduni wa kuvunja sheria abiria wanashindiliwa kwenye meli mpaka inaelemewa na kuzama. Kama Sheria ya Sumatra juu ya udhibiti wa usalama vyombo vya majini ingesimamiwa, je ajali ingetokea? Tujiulize.
Jambo lingine, jana wakati wa hitma ya kkuwakumbuka marehemu hawa wa meli, Rais JK alieleza jinsi uokozi ulivyofanyika nikashangaa sana. Eti meli imezama saa 7 usiku, yeye kapewa taarifa saa 9. Alafu vyombo vya uokozi vya jeshi na polisi vilishindwa kuiona meli ilipo hadi saa 11 alfajiri, karibu masaa 5, pale helkopta ilivyofanikiwa. Hivi kweli ni sahihi kutumia helkopta moja kutafuta meli? Kwanini hazikutumika helkopta nyingi?
Inashangaza sana, wakati wa Kampeni za Siasa, Raisi anatumia takriban helkopta nne zilizokodiwa kwa mahela lukuki; lakini inaonekana jeshi halina helkopta au hakuna utaratibu wa helkopta sijui nini.
Naamini haswa, kuwa ajali hii ya meli ingeepukika ama pasingetokea kifo hata kimoja.
Maadam watanzania tumekubali kuishi kwa kutozingatia usalama wa maisha yetu; basi sitashangaa hata tukaanza kushuhudia ajali za ndege, kwani sasa hivi, usafiri wa ndege umekuwa sana, na ninaamini kwa tabia yetu ya kutojali usalama, sitashangaa ajali za ndege zikianza.

Monday, August 22, 2011

GHADAFI KWISHA HABARI YAKE


" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHsyhsb9wLzMU70Nstn4iVuI_BBrZEFBj2VjFA-SFJrAbXDgcjTRzNfgg3BDt30ImbwBWEjVWUaaM-pTzFfAMW9i1dBSP2b6K61T6eodJO4OaRxRPjxE5hK72Zn9ybQDvX2DyNyQ/s400/libya_sl_y_0822.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5643638147744999778" /> Hiyo ni Kauli ya Barack Obama.



Wengi wataona kuwa hii ni kuingiliwa kwa mambo ya ndani ya Afrika, ni ubeberu mambo leo, na ni ukoloni. Lakini, binafsi naamini si mara zote ukoloni una hasara tu. Ninaamini viongozi kama Ghadafi hawana tija sana kwa jamii kubwa; zaidi wanatumikia "uswahiba". Naamini hata maendeleo yote ya Libya hayajawafaidisha walibya kwa wingi wao,ukiacha marafiki na ndugu wa dikteta huyu.
Pamoja na madhara yote yatakayojitokeza baada ya utawawala wa Ghadafi kuondoshwa, naamini ni bora kuliko kubakiwa na kiongozi wa aina yake katika dunia ya kileo.
Usiku wa leo waasi wameingia Tripoli.

Thursday, August 18, 2011

ADHA ZA KUWA MWANASIASA UNAYEHOJI AFRIKA



Ili uwe mwanasiasa, hasa wa upande wa upinzani, basi ujiandae kwa mambo kama haya ya kuaibishwa na dola. Hiyo picha inahusu habari hii hapa.http://www.blogger.com/img/blank.gif

TANZANIA INATIA RAHA BWANA - HASA HILI LA MAFUTA NA JAIRO!

Serikali inaweza kutishwa na wafanyabiashara, na kuonesha nguvu ya wafanyabiashara Taifa zima laweza kukumbwa na tatizo la nishati ya mafuta na mambo yatakwenda murua na burudani kabisa. Hii ndio nchi inaitwa Tanzania, kisiwa cha amani, nchi ya wapendanao, watu tusiopenda madhila katika maisha yetu. Ndio nchi pekee ambayo watuhttp://www.blogger.com/img/blank.gif whttp://www.blogger.com/img/blank.gifake wanajua 'kujiadjust na hali yoyote inayojitokeza'. Soma hii stori juu ya mafuta, utafurahi mwenyewe. Ukiacha la mafuta, Tanzania ni nchi nadhani kati ya chache ambazo kuna mahusiano mazuri sana kati ya wanasiasa na wataalam. Kwa mfano, ili wataalam mambo yao yaende vyema, basi kule bungeni, wabunge wanakatiwa chao kidogo tu, alafu wanapitisha. Kama unajua systemic corruption, soma hili ucheke alafu utajisikia faraja kuzaliwa katika Taifa la Amani.

MKATABA WA EAC - UJADILIWE UPYA

Katika kuwezesha jumuiya ya Afrika Mashariki iweze kuendana na mabadiliko ya Katiba Mpya ya Kenya na hata ile mpya inayotarajiwa Tanzania, kama itatokea kweli, imeelezwa kuwa Mkataba wa sasa wa EAC haufai. Soma habari hii.http://www.http://www.blogger.com/img/blank.gifblogger.com/img/blank.gif
HALI YA UCHUMI TANZANIA NI NGUMU: JE NINI ATHARI ZAKE NA TUFANYEJE?
Pia ikiwa kwa sasa hivi ambavyo maisha ya Tanzania yamekuwa juu sana, zingatia hali ya bei ya mafuta inavyosababisha kila kitu kupanda bei. Hivi umeshajiuliza ni kwanini bei zinakwenda juu? Tunaambiwa eti ni shilingi ya Tanzania imeshuka na pia eti soko la dunia mambo ndiyo yanayoongoza soko letu la ndani. Je, unajua kupanda huuku kwa bei kunamfaidisha nani? Anayefaidi ni huyu hapa, bonyeza hapa. si tu kwa wanaofaidi, lakini pia ningependa msomaji wangu, utambue kuwa kutokana na hali ngumu ya maisha, ni vyema kujua jinsi ya kuishi katika ugumu wa maisha.

ASALAAM ALAIKUM



Ni mwezi mtukufu wa Ramadhani, na baada ya kimya kingi naamua kurejea ili wasomaji wangu tuendelee kushirikiana. Watu tumezoea tu kushuhudia mashindano ya urembo kwa kufuata mitindo ya kimagharibi. Leo nawaletea mashindano kwa mahadhi ya kiarabuni, mambo ya kiislamu.

Thursday, May 19, 2011

MATAJIRI, WAKUBWA NA KASHFA ZA NGONO



Kwa mfuatiliaji wa mambo yanayotokea duniani, mwezi wa May 2011 umenigusa kwa Kuvunjika kwa ndoa ya Arnold Schwarzeneger, aliyekuwa gavana wa California ambaye amemaliza kipindi chake majuzi. Pia haswa kumenigusa zaidi baada ya huyu jamaa mkubwa wa Benki ya Dunia, Dominick Straus Khan kukamatwa nchini Marekani baada ya kujaribu kufanya ubakaji.
Hawa wote wawili yaliyowatokea ni kwa sababu wameendekeza sana ngono; Arnold yeye hatimaye imegundulika kuwa alikuwa amezaa na mfanyakazi wake kama gavana na kwa miaka kumi (10) alikuwa amemficha mkewe. Naye Straus Khan yeye ni mtu ambaye na kashfa za ngono ni marafiki. Kule Ufaransa wanamwita "hot rabbit" yaani sungura wa moto kwa mabibi, akimpania mtu lazima ampate. Ni kwa hali hiyo ya historia yake lililomtokea na kumsababishia aibu na kupoteza cheo chake cha Ukurugenzi wa IMF ni uzumbukuku wa vigogo na matajiri mbele ya vimwana. Ukisoma historia hii utaona ni jinsi gani hawa mabwana wamedhalilika. Lakini pia kwa marafiki zangu wengi nimewasikia wakibishana sana eti yule mwanadada alitegeshwa na CIA. Jamani, nasema, tuache hisia potofu, binafsi ninaelewa wazungu hawana simile kwenye makosa ya kuingilia maisha ya hasa mwanamke.

Thursday, May 12, 2011

YOWERI MUSEVENI AAPISHWA LEO KWA MUHULA WA TANO KAMA RAISI UGANDA




ONA HOTUBA YAKE BAADA YA KUAPA
Speech by H.E. Yoweri Kaguta Museveni
President-Elect of the Republic of Uganda
At the SWEARING-IN CEREMONY
At Kololo, Kampala
Kololo-12th May 2011

Your Excellencies Heads of State and Government who have come to be with us today;

Your Excellency the Vice President of the Republic of Uganda;

Rt. Hon. Speaker of Parliament of the Republic of Uganda;

Your Lordship, The Hon. The Chief Justice of the Republic of Uganda;

Rt. Hon. Speaker of the East African Legislative Assembly;

Your Excellencies Heads of Delegations;

Rt. Hon. Deputy Speaker of Parliament of the Republic of Uganda;

Your Ladyship, the Deputy Chief Justice of the Republic of Uganda;

Rt. Hon. Prime Minister of the Republic of Uganda;

Your Royal Highnesses, the Traditional Leaders;

The Religious Leaders;

Hon. Ministers;

Your Excellencies High Commissioners and Ambassadors;

Hon. Members of Parliament;

The NRM fraternity in the whole Country;

Ladies and Gentlemen.

First of all, I congratulate all the Ugandans for the peaceful elections held on the 18th of February, 2011 and other elections held since that date.

Secondly, I thank the Ugandans for overwhelmingly voting for me with 68.3%, the NRM Members of Parliament with 73%, District Leaders (LCV) with 79% Sub-County leaders (LCIII) with 71%. I also congratulate the opposition parties on the seats they got in Parliament, the District Council seats they got and the Sub-County positions they won.

The landslide win by the NRM should inform all and sundry that the people of Uganda are, politically, mature people. They are able to disregard lies put out by opportunists and stand on the truth.

In the last 45 years, the NRM position is well known. We reject reactionary ideology and stand for progressive ideas. We reject sectarianism as well as parochialism and stand for nationalism. We reject puppetry and stand for the genuine independence of Uganda and other African countries. We reject stagnation of the Ugandan society and stand for its rapid transformation into a modern society.

In spite of the initial scarce resources, we have made huge advances in the last 25 years. We now have 8 million children in the primary schools, 1.5 million children in the secondary schools, 120,000 students in the universities and 53,729 in tertiary institutions. In 1986, the comparable figures were: 2.5 million children in the primary schools, 190,000 children in the secondary schools, 5,000 students in the university and 27,205 in tertiary institutions. We only had one university. We now have 28 universities (both public and private). In a period of almost 90 years, between 1894 when the British colonized Uganda and 1986 when the NRM took over Government, we had only 28,000 telephone lines. We now have over 14 million telephone lines. I can continue to bring out the NRM achievements in every sector. However, these examples suffice to highlight this point.

The NRM stands for Pan-Africanism, which translates into economic and political integration. We are very happy with the market of 130 million people of the East African Community. We are happy with the COMESA market of over 400 million people. We are also working for the political integration of East Africa together with our partners of Kenya, Tanzania, Rwanda and Burundi.

The massive victory by the NRM in the February 2011 elections, therefore, was a triumph of progress and even revolutionary ideology over reactionary ideology. It was a triumph of Uganda’s patriotism over sectarianism and opportunism. We won overwhelming victory in all the regions of Uganda. Since creation, this is the first time Ugandans have coalesced into such a consensus. I would, therefore, call upon those who have been pushing sectarian ideas and pushing opportunism to join the national consensus instead of being desperate and embarking on disruptive schemes. Those disruptive schemes will be defeated just like the previous opportunistic schemes have been defeated.

Uganda is now on the verge of take-off to become a middle income country by 2016. In order for Uganda to accelerate her speed to a middle income status, we need to resolve one issue. Just as you cannot build a house without a foundation (musingyi, oruhazo), you cannot build a modern economy without modern infrastructure. By this, we mean: electricity, roads, the railway, piped water, telephones, ICT network, media, as well as social infrastructure in the form of schools, colleges, health units, etc. The importance of these elements of infrastructure is two fold. Social infrastructure produces healthy, educated and skilled human resource. The economic infrastructure, on the other hand, is very useful for the economy because it lowers the costs of doing business in the economy and, therefore, enterprises become more profitable. This, in turn, attracts more enterprises to Uganda which create more jobs, widens the tax base, etc.
The area of telephone infrastructure has been catered for by the private sector as already indicated above. In the area of piped water, at least, all the major towns are properly served now. We need to expand piped water to the trading centres and the villages. Using a Chinese loan, we have built the fibre optic cable for ICT network. The private sector and, to some extent the Government, are handling well the issue of media infrastructure. The Government has long handled the issue of the education infrastructure. We now have 148,720 classrooms, built with permanent materials, compared to 21,959 classrooms in 1986. Similarly, the Government has been handling the issue of health infrastructure. There are now, for instance, 166 Health Centre IVs compared to1986 when there was nothing.

It is, therefore, the main cost pushers in the economy that need to be addressed. These are electricity, roads and the railways. These have been badly addressed, not only here in Uganda, but also in other African countries. There is a useful measurement I have been using to highlight the big mistake Africa has been finding itself in. This is kilo watt hour (kWh) per capita. Countries like the USA have got a kWh per capita of 12,500. Uganda, on the other hand, has got a kWh per capita of only 70. In 1986, it was 21 kWh per capita. Many African countries have, similarly, very low kWh per capita, even those that have been peaceful all the time since independence. I blame the technocratic staff for this mistake. I also blame the 6th Parliament for part of this mistake. Since I discovered this mistake, I have pushed for fast movement on this issue. By next year, when Bujagali and other mini-hydro stations are finished, Uganda’s kWh per capita will be 100. By 2016, when Karuma, Ayago and Isimba are ready, our kWh per capita will be 500. To be sure that we do not waste any more time, we are going to use our own money for much of this work. If private capital is available on terms that will ensure low tariffs for consumers and there will be no delays in the execution of projects, then, we shall welcome it.

You can see what a big struggle we have to make up for lost time. Using largely our own money, we shall also work on the roads, on the railway, on A’ level free education, university student loans as well as on scientific innovations and research as per our manifesto.

To achieve these goals we need discipline and the rule of law.

Regarding the current short term problems of increased fuel prices and increased food prices, we are looking at the option of buying in fuel bulk and also the option of approaching the Government of Southern Sudan. I am told that buying in bulk lowers prices. I am also told that fuel in Juba is cheaper. In fact, some of our people from West Nile are already using that fuel, especially diesel. I intend to approach the Government of Southern Sudan to see the possibilities. In the next 3 years, we shall be using our own fuel after the building of the Refinery is finished. We are also analyzing the price of fuel up to Eldoret. Is it all justified?

On the issue of food, predictions are showing that this is a temporary problem. We are likely to have a bumper harvest. The prices will normalize. In the short run we are going to encourage micro-irrigation based on individual farms. The Ministry of Finance will encourage the importation of the necessary equipment for micro-irrigation – sprinklers, hoses, etc., or making them here, locally. Farmers can, however, use very simple methods, such as the plastic water bottles. You fill a bottle with water, make a small hole in the bottle and put it next to the plant. The plant will grow very well. We also need to emphasize the use of fertilizers. All these harvests we achieve, we attain without the use of fertilizers – 10 million metric tones of bananas, 4 million bags of coffee, etc. With fertilizers, we are going to produce much more. I am, however, told that fertilizers should be used carefully because they can also spoil the soils. The increased demand for food in the world and the region is good for the farmers of Uganda and for the economy of our country. We, however, need to work out mechanism of stabilizing food prices for the urban-dwellers and salary-earners in towns. All this should be done without interfering with the foundation projects I have talked about above – electricity, roads, the railway, education and health.

Our research scientists are struggling with solutions for the banana and coffee wilt. I demand that the scientists put out a programme of action through the Ministry of Agriculture. On the issue of mega-irrigations in Karamoja, the Mount Elgon area, the Rwenzori area, the plan is that the programmes will be handled in the 3rd or 4th year of this Government. Our emphasis, for the first two years, will be on electricity, roads, the railway, scientific research and innovation, A’ level education for free and the student loans for universities. The Minister of Finance is also working on the question of the issue of silos for storage. In all these projects, we are going to use our own money. If we can secure a soft loan from the funding Agencies, we would start on the mega-irrigation schemes soon.

On the health, we are continuing to crack down on the theft of drugs from health centres by health workers. In the medium term, we shall look at the question of salaries for doctors and health workers. Again, without interfering with the foundation activities, we will be happy to raise the salaries of health workers and other scientists.

I thank all the Ugandans who supported us in the last elections. Continue to support the NRM. My Government will, however, serve all Ugandans as always including those who did not support us.

I thank you very much.

Kololo -12th May 2011

Hotuba inasomeka kwelikweli. Haya yote amefanya lakini bado kuna vijana na watu kibao mitaani wanatembea eti maisha magumu. Sasa hivi demokrasia ya Afrika ina shida gani? Au ametudanganya? Au haelewi mahitaji ya wananchi wa kawaida?
Wajameni, Mnamsomaje huyu mzee Museveni?