My Blog List

Saturday, January 10, 2015

AJALI YA SHANGINGI LA SUGU MLIMA KITONGA LEO


Mbunge Sugu wa Mbeya mjini kapata ajali leo Mlima Kitonga

HAYA ETI YALIJIRI SAKATA LA BUNGE LA EALA!


Kwa kweli ukifuatilia lile sakata la mwishoni mwa mwaka jana Bunge la EALA ambapo wawakilishi wetu walikuwa wakimuunga mkono Spika Margreth Zziwa kwa sana, lilikuwa limejaa mambo mengi sana ya kiajabuajabu. Ona, jinsi mambo ya mizengwe ya kisiasa za kiafrika yalivyotawala.

HAPPY NEW YEAR MARAFIKI WASOMAJI NA WAANDISHI

Ninawatakia Heri ya Mwaka Mpya wa 2015; ni mwaka ambao nimeamua tena niamke kuanza kuandika. Kwa kweli nilikuwa nimekaa kimya kwa miaka kadhaa sasa; lakini umefika wakati sasa inabidi nianze kusema kwa maandishi hisia zangu mbalimbali. Ninawaahidi wale wote walionikosa basi nimerejea, kila wiki nitajitahidi kuleta dira yangu.

Nawaombeni sana tushirikiane kwa maoni.