My Blog List

Monday, April 06, 2009

AFRIKA NA MAUZAUZA

Afrika inatawaliwa na utawala wa watawala wenye nguvu za kimungu. Lakini si hivyo tu, Africa inahitaji watawala wanaojali kupambana na rushwa ili iweze kuendelea.

Huku mkutano wa matajiri wa dunia, G20 umemalizika ni vyema tukajua je ulikuwa na tija yeyote kwa bara la Africa? Kwa wale wanaofikiri kuanzisha biashara, huu ndio wakati wake hasa kuzingatia haya: Na la mwisho tunakuumbushwa kuwa watawala wa leo siku moja wanaweza kuwa ndio wadhalimu.