My Blog List

Saturday, October 27, 2007

DR. JAMES WATSON NA MALUMBANO YA AKILI ZA MTU MWEUISI

Je akili za waafrika ni sawa na za wazungu? Ushindi wa urais bora kwa Chisano una ujumbe gani kwa maraisi wengine?
Mambo ya siasa ni kuwa eti kiranja wa bunge la Uganda ni mvunjaji sheria mkubwa.

Thursday, October 25, 2007

KWAHERI MAMA MBATIA

Ni habari za kusikitisha Naibu waziri wa wizara ya Maendeleo ya Wanawake, Jinsia na Watoto amefariki kwa ajali ya gari jana huko mkoani Iringa. Picha hii ni dhihirisho la ubaya wa ajali hiyo.
Huu ni mwaka wa ajali nyingi sana hasa kwa viongozi wetu, ni wazi kuna tatizo kubwa katika matumizi bora dhidi ya watumiaji wa vyombo vya moto.

Saturday, October 20, 2007

DUBE MWANAMAPINDUZI HALISI

Lucky Dube katutoka; ni jambo la kusikitisha sana. Mungu amlaze pema peponi. Dube alifahamika kila kona ya Afrika hasa wakati wa kipindi cha makaburu. Aliimba kuhamasisha dhidi ya ukaburu; sitamsahau.
\Pia tunakumbushwa kujali njia ya ABC dhidi ya Ukimwi na pia je unawajua Waganda wenye akili sana?